Uwezekano wa Magufuli kuongoza nchi kwa kipindi cha pili haupo

Uwezekano wa Magufuli kuongoza nchi kwa kipindi cha pili haupo

Kajimaliza kabisa
Wanaojua mzizi wa haya yanayoendelea ni wachache sana.

Hamjiulizi kwanini jiwe mpaka sasa kigugumizi? Hujuma anazofanyiwa ni reaction ya kitendo cha jiwe kujipeleka kwenye kambi ya Lowassa.
 
Wacha kurohoja wewe twende na Membe 2020
Kunawatu wanafikra finyu eeh!! Kuwa amiri jeshi mkuu ni jambo zito mmno,pia kuwa mwenyekiti wa chama na hapohapo mteuzi wa mawaziri ma DC na RC etc. sio jambo dogo wakukutikisa inakuwa hamna.
Rais wetu atamaliza miaka yote kumi ila baada ya kustaafu sijui ataishije kwaraha??
 
Wakati huo watu wa Membe watakuwa wana Kula tambuu na wale wa magu watakuwa wanakula machozi yao
Jiandalie kamba haraka au badili id mapema maana baada ya uchaguzi sijui uso wako utauweka wapi
 
Kipindi chako cha kufa na njaa ndiyo kinawadia maana hutakuwa na wakumramba viatu
Najua upo busy kwa waganga,sisi tupo busy ikulu kupokea vipande vyetu vya madini na fwedha zilizokwibwa na majizi!
 
Huo ndiyo ukweli mkuu na sasa kumkaribisha Bashe watu hawajui tu
Kuna kausemi maeneo ya Pwani kuwa "joka la mdimu huwalinda watundao" Siwezi kukataa kuwa uwepo wa Bashe wizarani ni hatua ya kumfurahisha mzee wa mvi. Huyu kijana wake kumbuka.
 
Mkuu hizo ni ndoto za Alinacha za mchana kweupe rais ataongoza awamu ya 2 na kwa atakayofanya tutatammani tumuongeze mda tutampa miaka mingine 20 jmla iwe 20 rais gani ukiacha nyerere alifanya mambo makubwa kama haya?? Alofanya Magufuri??
Utampa ww na familia yako
 
Vipi wale vifaranga mlio watandika moto?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Najua upo busy kwa waganga,sisi tupo busy ikulu kupokea vipande vyetu vya madini na fwedha zilizokwibwa na majizi!
 
Tumemchoka Jamaa huo ndi uhalisia lakin hats kwa mkino wa damu atarudi tu..... Uyu
 
umeongea vyema mkuu..

2020 barabara ni nyeupe sana kwa magufuli ,shughuli pevu ipo 2025 ulingo wa kina jafo na kina makamba.

January makamba nae hii skendo imempotezea popularity so jafo atakua the best kwa wakati huo.
1. Lowasa hawezi kugombea urais mkuu. Afya haimruhusu.

2. Kundi la Lowasa kwa sasa liko pamoja na Rais Magufuri

3. Kundi la kikwete halina sifa wengi wao ni wachafu sana.

4. Upinzani kwa sasa hawana mtu powerful wa kupambana na Rais Magufuri

Mtifuano mkali utakuwa 2025 na siyo 2020. Kwani 2020 Rais Magufuri atashinda kwa kura nyingi zaidi ya alizopata 2015.
 
tatizo watoa mada ni mashabiki ya upande fulani, "ww ni raia uliyechoka" ndicho nilichokinoti, sasa ungeleeza nn kimekuchosha?. CCM km nilivyowazoea na kuwasikia hakitaharibika kitu, jamaa atamaliza miaka kumi bila porojo wala ngonjera yeyote alafu akimaliza 10 wataanza kumshawishi aendelee kipindi kingine cha miaka 10 ya nyongeza😉
 
Back
Top Bottom