Uwezekano wa Magufuli kuongoza nchi kwa kipindi cha pili haupo

Haya yanakwenda kutimia, Mungu saidia kwa kuweka mkono wako.AMINA
 
Mbingu zimewakataa zilianza kwa bashite nae ajira yake inakoma rasmi October, watz si watu wa visasi kwa yote aliyowaumizia ataishi kwa furaha na amani. Muhimu tu apumzike kwa amani October asituumize Tena 5 yrs
 
Haupo...kulazimisha asije akawaponza NEC bure!!
 
Kosa kubwa walilofanya CCM ndani ya miaka 5 ni kujikita kununua madiwani na wabunge wakifikiri ndiyo njia pekee ya kuua upinzani.

Kosa lingine la kiufundi ilikuwa kuwazuia wapinzani wasiongee kwa miaka 5 mfululizo.

Sijui ni nani aliwashauri mbinu hizi za karne ya 18. Sasa majibu wameyapata toka kwa watanzania.

Bechi la ufundi ongezeni wasanii zaidi....kwenye safari za Mzee baba
 
Sidhani kama Umefanya Tathimini ya Awamu ya 5 na Vitu ilivyovifanya Ambavyo vimegusa Mwananchi mdogo kabisa. Ambao katika Awamu iliyopita walisahauliwa kabisa na kuishi kama wakimbizi kwenye Nchi yao.

Sisemi kwamba Rais wa Awamu ya 4 hakufanya kitu lahasha ila wasaidizi wake walimwangusha sana.

Tangu Alipokuja Ndugu Magufuli Amedhibiti nidhamu serikalini.. Amedhibiti uchezewaji wa PESA za serikali. Ameondoa wafanyakazi hewa Ambao walikua wanatafuna mabilioni ya walipa kodi na kupelekea Miradi mingi kushindwa kutekelezeka.

Amewekeza kwenye miradi mingi mikubwa Ambayo Impact yake itakuja kuwa kubwa sana kwa Taifa hili.

Sasa najua Baadhi ya watu wenye mawazo mgando wata beza na kushikilia hoja dhaifu kwamba hali ya Uchumi wa wananchi ni Mbaya.

Hapa naomba niseme. Wazi taifa hili watu wengi walikua hawajishugulishi na walikua Mission town na udalali. Sasa fedha zilizokua zinatakatishwa mitaani hamna kila Mbuzi Atakula kwa urefu wa namba YAKE.

Kama hufanyi kazi utalalamika na utakufa njaa Brother. Magufuli atachaguliwa na Atashinda kwa kishindo. Hakuna mbadala wake kwa taifa hiki tena Tutamwongezea miaka 10 mingine Atusogeze Mbele kwa kasi zaidi.
 
Maneno mengi yasiyo na faida

Mi hua nawaelewa ninyi,nyote ninyi mnaomponda JPM ni watu wa makundi matatu makubwa

1. Vyeti feki

2. Wala rushwa (fisadi) mliobanwa msituibie wananchi

3. Wenye uchu wa madaraka kutafuta pesa na heshima

Sisi wananchi 85% kama si 90% tunamuelewa sana JPM na anatutendea vyema

Acheni kuja na maneno elfu saba mia3 ishirini na4 hayatusaidii..tendeni haki ktk idara zenu na kama mlifukuzwa mkome,nendeni Tabora huko au Rukwa bado kuna ardhi kubwa sana ya kulima
 
Nipo uswaz huku siasa Sina mda nayo Sana but mie KM NAONA USHINDAN HAMNA VILE MAGU KAPITA NA TULIA HUKU KWETU KAPITA

SIJUI HUMU JF WATU MNAJIPA MOYO GANI ILA NAONA KAMA LISSU HANA NGUVU KIVILE


MUDA UTAONGEA
 
Ukweli mtupu , kwa sass tegemeo kuu la Magufuri Ni maafisa vipenyo walitapakazwa tume ya uchaguzi .
 
[emoji2][emoji2]Tena bila kupingwa
Jf iko tofauti sana na maisha halisi ukiwa humu utadhani Tz imesimama
Nipo uswaz huku siasa Sina mda nayo Sana but mie KM NAONA USHINDAN HAMNA VILE MAGU KAPITA NA TULIA HUKU KWETU KAPITA

SIJUI HUMU JF WATU MNAJIPA MOYO GANI ILA NAONA KAMA LISSU HANA NGUVU KIVILE


MUDA UTAONGEA
 
DAY DREAM PLUS DOUBLE KICK SPIRITY
Herode
Mzee wa Mifadhaiko alipoona mhanga wa Risasi ni mzima yuko Nairobi akatuma watu(kina Samia)
Mhanga yule akarudi, wakaanza kuweweseka, imekuwaje risasi 16 zishindwe wakati 3 huwa zinamaliza kila kitu?
 
Mtoa post naomba unipe sifa tano za kiongozi bora ili tujue Kati ya lisu na magufuli nani tumpe kura oct 28/2020
Nasubir majibu
 
Pole sana ndugu yangu!Magufuli anashinda kwa kura nyingi tu.Nitarudi hapa tarehe 29/10,/2020.Kukumbusha .
 
Ni JPM TENA October 28th tutapiga kura nyingi sana za upendo mkubwa kwa JPM

JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…