Uwezekano wa Magufuli kuongoza nchi kwa kipindi cha pili haupo

Mmmh kuna watu mlikuwa mnajua kinachoendelea..sio bure
Kuna jamaa liligombea uRais na mwishoni mwishoni mwa kampeni likajiongelesha hivi

Nitafunga goli dakika za majeruhi.

Dakika za majeruhi huwa ni muda wa nyongeza punde baada ya muda wa kawaida (dakika 90) kukamilika. Hivyo basi

Muda wa nyongeza aliomaanisha ni punde baada ya uchaguzi.

By the way, Magu mwenyewe alikuwa anasema kauli hii ifuatayo wakati wa kampeni

Mzee Mwinyi, Mkapa na Kikwete mliwapa miaka kumi, mbona mnataka niishie mitano?.

Unadhani hii kauli alikuwa anasema kwa wapiga kura ama kwa wanaomweka Rais madarakani?
 
Kwakweli, Mungu amesikia kilio cha wana Israel ameshuka na kujibu maombi.
 
Mtumishi hahaa mtume S.A.W alikufa .na mbwa kuifanyia dhuruma mwili wake japo alikuwa mtakatifu kwa mujibu wa moslems .
Kwa hiyo kufa ni kwa wote uwe mwema Sana au mchorongaji sana.the means of death doesn't choose who you're.
 
Mtumishi hahaa mtume S.A.W alikufa .na mbwa kuifanyia dhuruma mwili wake japo alikuwa mtakatifu kwa mujibu wa moslems .
Kwa hiyo kufa ni kwa wote uwe mwema Sana au mchorongaji sana.the means of death doesn't choose who you're.

Hata kifo cha mtume kimeainishwa kwenye hivyo vinne:


Pia vya Jiwe, Nyerere na hata Mawazo.

Au nasema uongo ndugu zangu?
 
Aliisema lini hii? Toa ushahidi mkuu
 
Duh! Wewe ndio umechemka kabisa kumleta Ngoyai kwenye equation. Mtu ambaye yuko 'ICU' anawezaje kweli kugombea Urais?
Labda hujaona clipp yake ya hivi karibuni... Ngoyai keshajichokea. The best for him now ni kujiandaa kiroho kwa safari inayofuata...
Lowasa bado yupo hai, anavuta tu pumzi ya Mungu bureee
 
Duh! Wewe ndio umechemka kabisa kumleta Ngoyai kwenye equation. Mtu ambaye yuko 'ICU' anawezaje kweli kugombea Urais?
Labda hujaona clipp yake ya hivi karibuni... Ngoyai keshajichokea. The best for him now ni kujiandaa kiroho kwa safari inayofuata...
Ha ha ha...
 
Duh! Wewe ndio umechemka kabisa kumleta Ngoyai kwenye equation. Mtu ambaye yuko 'ICU' anawezaje kweli kugombea Urais?
Labda hujaona clipp yake ya hivi karibuni... Ngoyai keshajichokea. The best for him now ni kujiandaa kiroho kwa safari inayofuata...
Kha!
Duh! Wewe ndio umechemka kabisa kumleta Ngoyai kwenye equation. Mtu ambaye yuko 'ICU' anawezaje kweli kugombea Urais?
Labda hujaona clipp yake ya hivi karibuni... Ngoyai keshajichokea. The best for him now ni kujiandaa kiroho kwa safari inayofuata...
Kha! Aisee 🀭
 
Mlijisahaulisha nguvu ya Mungu. Kafa Kama panya
 
Mkuu hizo ni ndoto za Alinacha za mchana kweupe rais ataongoza awamu ya 2 na kwa atakayofanya tutatammani tumuongeze mda tutampa miaka mingine 20 jmla iwe 20 rais gani ukiacha nyerere alifanya mambo makubwa kama haya?? Alofanya Magufuri??
Misukuma Ni mipumbavu sana
 
Inajulikana kabisa duniani na mbinguni Rais Magufuli ataendelea kuongoza kwa kipindi kingine cha miaka 5. Hawa wanaosema ataongoza kwa kipindi kimoja tu ni wehu.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…