Uwezekano wa Magufuli kuongoza nchi kwa kipindi cha pili haupo

Uwezekano wa Magufuli kuongoza nchi kwa kipindi cha pili haupo

Duh! Wewe ndio umechemka kabisa kumleta Ngoyai kwenye equation. Mtu ambaye yuko 'ICU' anawezaje kweli kugombea Urais?
Labda hujaona clipp yake ya hivi karibuni... Ngoyai keshajichokea. The best for him now ni kujiandaa kiroho kwa safari inayofuata...
Mungu ni MKUU SANA! Laiti angewapa binadamu wenzetu jukumu la nani awe hai, nani awe kuzimu, dunia ingekua tofauti sana na hivyo ilivyo Leo!
 
Nilikua na hizo screenshot dah nimezifuta, jamaa aliandika comment mwaka 2020 "mwakani kutakua na msiba wa Taifa"
Ila yule nae alikuwa zuzu sana. Hivi unajua kabisa umekulia kijijini pembeni kabisa mwa nchi. Watu wamekukaribisha mjini wamekupa chakula,wakakufanyia michongo wakakuweka kwenye kiti, mara ghafla unaanza kuwaambia wanawashwa,wapunguze kiherehere. Mara hujaribiwi, mara wewe ni jiwe, mara uraisi hujapewa na mtu yoyote, Yan ungese juu ya ungese daily. Watu wanarudi wanakaa kikao wanasema huyu mbona anatuzoea hivi...nani anampa kiburi huyu? Wanasema ni fulani, okay.. ngoja tuanze nae anaempa kiburi. Mara paap mtu chini..na yeye sasa amfate. GAME OVER!
 
Ila yule nae alikuwa zuzu sana. Hivi unajua kabisa umekulia kijijini pembeni kabisa mwa nchi. Watu wamekukaribisha mjini wamekupa chakula,wakakufanyia michongo wakakuweka kwenye kiti, mara ghafla unaanza kuwaambia wanawashwa,wapunguze kiherehere. Mara hujaribiwi, mara wewe ni jiwe, mara uraisi hujapewa na mtu yoyote, Yan ungese juu ya ungese daily. Watu wanarudi wanakaa kikao wanasema huyu mbona anatuzoea hivi...nani anampa kiburi huyu? Wanasema ni fulani, okay.. ngoja tuanze nae anaempa kiburi. Mara paap mtu chini..na yeye sasa amfate. GAME OVER!
Aiseeeeee! Wanasemaga ukizaliwa mjini tu tayari ushakuwa sawa na mtoto wa form 6!
 
Ila yule nae alikuwa zuzu sana. Hivi unajua kabisa umekulia kijijini pembeni kabisa mwa nchi. Watu wamekukaribisha mjini wamekupa chakula,wakakufanyia michongo wakakuweka kwenye kiti, mara ghafla unaanza kuwaambia wanawashwa,wapunguze kiherehere. Mara hujaribiwi, mara wewe ni jiwe, mara uraisi hujapewa na mtu yoyote, Yan ungese juu ya ungese daily. Watu wanarudi wanakaa kikao wanasema huyu mbona anatuzoea hivi...nani anampa kiburi huyu? Wanasema ni fulani, okay.. ngoja tuanze nae anaempa kiburi. Mara paap mtu chini..na yeye sasa amfate. GAME OVER!
Exactly.

Nanukuu
Unajua kifo ni Siri ya mwenyezi Mungu. Jana jioni nilikwenda kumuona hospitali, tulizungumza Sana, tulizungumza sana. Alikuwa na maumivu, lakini si yale maumivu ambayo ukitoka kumuona mgonjwa Unawaambia wenzako, nimemuona mgonjwa lakini...

The rest is history.
 
Nafuu ipo!! Tena kubwa mno! Bible inasema bora Mkate na maji penye amani kuliko nyama,maziwa na asali penye vita!

Saivi ni raha mno! Tunajihisi tupo ktk nchi yetu! We are free and Happy!
hiyo inaitwa mshindo,au raha ya bao,huwa haidumu.
furaha mliyo nayo ni ya kifo cha magufuli,sio ukombozi mlioutaka.ukombozi haupo kama unavyotaka kujidanganya hapa.

unaamini una raha,lakini moyo wako unakwambia kabisa hauko climax,kama ulivyotarajia,ndio maana kelele kwa magufuli haziishi muda tu sasa.
 
Maisha yanaenda kasi sana nimesoma mitazamo ya wadau kuanzia mwanzo wengine wamelazimika kubadil misimamo zaid ya mara moja kutokana na matukio ambayo hayakutarajiwa,nani anajua inawezekana kuna wachangiaji walishazikwa yamebaki maandish tu jamvin.
 
Umeupiga mwingi sana Bwana Ndambo, hii inaonyesha kuwa wewe ni political pundit [emoji120][emoji1666] Nimeipenda hii paragraph niliyoinakili, hii inaonyesha kabisa kuwa wakati sisi "wananchi wa kawaida" tunaona kifo cha Magufuli kama "mipango ya Mungu", lakin kwa nyinyi wataalamu wa siasa mliliona hili mapema kama kuondoka kwa Magufuli ni lazima by any means necessary. Hasa ulipo sema : Nina quote

" JESHI LA NCHI HII, NA KWA VYOVYOTE VILE, JESHI LA NCHI HII KWASISI WACHAMBUZI WA MAMBO, HALIWEZI KUMRUHUSU MAGUFULI KUENDELEA NA AWAMU YA PILI, CHA KUZINGATIA TU WAKATI HUO WA (2020) KUNA UWEZEKANO BAADHI YA WATU HATUTOKUWA NAO, KIMWILI AU KISIASA, AKIWEMO MAGUFULI MWENYEWE".

Na imetokea kweli, kwamba hakuruhusiwa kuendelea kuongoza na wenye nchi. Timing tu ndo imebadilika,waliona kuwa bora waache uchaguzi upite kwanza kupunguza rabsha, halaf warekebishe waweke mtu wao mwingine. Kwa maana hiyo sasa kwa mujibu wa makala yako ni kwamba timu ya Kikwete imeishinda tena ile ya Lowassa. Na hii nafikiri ni kwakuwa Lowassa sasa afya yake haimruhusu kuendelea na mapambano. Angekuwa bado yupo vizuri, shuguli Ingekuwa pevu. Lakin credit pia iende kwa mkwere anajua kuzichanga karata zake vizuri, maana anakijua chama kindakindaki. Lakin kwa mimi naomba niseme kuondolewa kwa jiwe is a good riddance. Alikuwa hana mission wala vision. Na alitaka kuichange system kwa muda mfupi sana, wakati wenzake wapo kwenye game muda mrefu na wanaijua nchi nje ndani. Ukweli ni kwamba nchi ilikuwa inaenda shimoni. Watu wangekuwa masikini wa kutupwa, tungerudi nyuma kisiasa miaka 50. Kweli hii nchi ina wenyewe [emoji119][emoji119]
Hao wanaojua nchi nje ndani wameifanyia nini
 
Ila yule nae alikuwa zuzu sana. Hivi unajua kabisa umekulia kijijini pembeni kabisa mwa nchi. Watu wamekukaribisha mjini wamekupa chakula,wakakufanyia michongo wakakuweka kwenye kiti, mara ghafla unaanza kuwaambia wanawashwa,wapunguze kiherehere. Mara hujaribiwi, mara wewe ni jiwe, mara uraisi hujapewa na mtu yoyote, Yan ungese juu ya ungese daily. Watu wanarudi wanakaa kikao wanasema huyu mbona anatuzoea hivi...nani anampa kiburi huyu? Wanasema ni fulani, okay.. ngoja tuanze nae anaempa kiburi. Mara paap mtu chini..na yeye sasa amfate. GAME OVER!
mdogo wangu hii michezo waachie wahusika,wanaielewa.

ukiambiwa jamaa aliandaliwa kuwa rais tokea yuko shule utakataa,kipindi ni waziri wa ujenzi alisigana na unayeamini alikuwa boss wake kuhusu uvunjaji wa jengo la tanesco,huyo boss alimwogopa hata kumtamkia neno.badala yake jamaa aliombwa alegeze msimamo.

wachana na story za sijui nani kamweka mwenzake mjini,hazina ukweli wowote.
 
mdogo wangu hii michezo waachie wahusika,wanaielewa.

ukiambiwa jamaa aliandaliwa kuwa rais tokea yuko shule utakataa,kipindi ni waziri wa ujenzi alisigana na unayeamini alikuwa boss wake kuhusu uvunjaji wa jengo la tanesco,huyo boss alimwogopa hata kumtamkia neno.badala yake jamaa aliombwa alegeze msimamo.

wachana na story za sijui nani kamweka mwenzake mjini,hazina ukweli wowote.
Hamna kitu..kila mtu anajua CCM baada ya a Lowassa kwenda upinzani ilikuwa maji ya shingo.. ilibidi wamchukue Magu kwasababu ilikuwa haina jinsi. Hamna anaweza mchagua chizi kama lile
 
"Naendelea kutoa ushauri kwa vijana wa ccm, kujaribu kuchagua upande sahihi mapema na sio kukesha kupyauka, leo unamtukana huyu, kesho unamtukana yule, mwisho unajikuta unatakiwa kumsifia mtu uliemtukana jana, utasimamaje? Vijana muwe wenye hekima sana, na pengine mjitaidi kunyamaza kimya, unaedhani ana nguvu leo, kesho unaweza kumkuta ni laini kama siagi......kuni zinawaka moto sana...."

vijana wa CCM kuna ujumbe wenu hapa. kama utabiri umekamilika, basi chukueni huo ushauri utawasaidia na hasa MATAGA
Vipi kuhusu Lowasa kabla na baada ya kwenda Chadema
 
Back
Top Bottom