Uwezekano wa Magufuli kuongoza nchi kwa kipindi cha pili haupo

Uwezekano wa Magufuli kuongoza nchi kwa kipindi cha pili haupo

Mmmmmmh............., duh.
IMG_20210613_224904.jpg
IMG_20210613_224827.jpg
IMG_20210613_224745.jpg
 
CHADEMA haiwezi kuja kuongoza hii nchi hata iweje.Bora iendelee na shughuli zingine sio kusubiri embe chini ya mnazi
Oooook ... ni kweli sawa kabisa afisa mipango wa mbinguni kwa muumba nimekuelewa na umeleeweka vema ntakupinga vipi na wewe na Mungu mnakaa meza moja kuyapanga ya duniani

Lakini unakumbuka mlipanga kumpa uraisi wa milele, na kisha mkamteua atakae mrithi baada yake. Ghafla kufumba na kufumbua leo hii tunaongozwa na Raisi mwanamke hakuna alie tarajia hilo.

Wakati huohuo mliempangia kuongoza milele kwa sasa yumo kwenye shimo la JEHANAMU anaungulia madhambi yake ya udhalimu na yule mrithi wake mliempanga na kumteua kwasasa anaishi kama digidigi

Bado tu hamjajifunza !!!???
 
Oooook ... ni kweli sawa kabisa afisa mipango wa mbinguni kwa muumba nimekuelewa na umeleeweka vema ntakupinga vipi na wewe na Mungu mnakaa meza moja kuyapanga ya duniani

Lakini unakumbuka mlipanga kumpa uraisi wa milele, na kisha mkamteua atakae mrithi baada yake. Ghafla kufumba na kufumbua leo hii tunaongozwa na Raisi mwanamke hakuna alie tarajia hilo.

Wakati huohuo mliempangia kuongoza milele kwa sasa yumo kwenye shimo la JEHANAMU anaungulia madhambi yake ya udhalimu na yule mrithi wake mliempanga na kumteua kwasasa anaishi kama digidigi

Bado tu hamjajifunza !!!???
Akikujibu nitag mkuu
 
Oooook ... ni kweli sawa kabisa afisa mipango wa mbinguni kwa muumba nimekuelewa na umeleeweka vema ntakupinga vipi na wewe na Mungu mnakaa meza moja kuyapanga ya duniani

Lakini unakumbuka mlipanga kumpa uraisi wa milele, na kisha mkamteua atakae mrithi baada yake. Ghafla kufumba na kufumbua leo hii tunaongozwa na Raisi mwanamke hakuna alie tarajia hilo.

Wakati huohuo mliempangia kuongoza milele kwa sasa yumo kwenye shimo la JEHANAMU anaungulia madhambi yake ya udhalimu na yule mrithi wake mliempanga na kumteua kwasasa anaishi kama digidigi

Bado tu hamjajifunza !!!???
Huu ni msumali wa Moto mnoooo umemaliza kila kitu [emoji1666][emoji1666]
 
Aisee Kuna watu hata Kama Ni chuki hii imezidi.Death is the only way for all of us tumuache uyu mzee apumzike kwa amani
Hizi kenge zingine humu zinakera sana aliyekuambia kila anaekufa anapumzika kwa amani ninani??
 
Inajulikana kabisa duniani na mbinguni Rais Magufuli ataendelea kuongoza kwa kipindi kingine cha miaka 5. Hawa wanaosema ataongoza kwa kipindi kimoja tu ni wehu.
Mungu fundi
 
Wananchi kwa 100% wanamtaka Dkt Magufuli atawale mpaka 2040. Tena kwa taarifa mleta mada, wananchi wako tayari kuingia mtaani kumtetea Dkt Magufuli ili aendelee kuwa rais, hao mafisadi na walafi wa madaraka waliokabidhi nchi kwenye mikono ya wezi na familia zao hawana nafasi!
Meza imepinduliwa
 
Oooook ... ni kweli sawa kabisa afisa mipango wa mbinguni kwa muumba nimekuelewa na umeleeweka vema ntakupinga vipi na wewe na Mungu mnakaa meza moja kuyapanga ya duniani

Lakini unakumbuka mlipanga kumpa uraisi wa milele, na kisha mkamteua atakae mrithi baada yake. Ghafla kufumba na kufumbua leo hii tunaongozwa na Raisi mwanamke hakuna alie tarajia hilo.

Wakati huohuo mliempangia kuongoza milele kwa sasa yumo kwenye shimo la JEHANAMU anaungulia madhambi yake ya udhalimu na yule mrithi wake mliempanga na kumteua kwasasa anaishi kama digidigi

Bado tu hamjajifunza !!!???
Makosa yote yatafanyika lakini sio la kuwapa chadema nchi.never
 
Back
Top Bottom