Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Oooook ... ni kweli sawa kabisa afisa mipango wa mbinguni kwa muumba nimekuelewa na umeleeweka vema ntakupinga vipi na wewe na Mungu mnakaa meza moja kuyapanga ya dunianiCHADEMA haiwezi kuja kuongoza hii nchi hata iweje.Bora iendelee na shughuli zingine sio kusubiri embe chini ya mnazi
Hayupo tena.CHADEMA haiwezi kuja kuongoza hii nchi hata iweje.Bora iendelee na shughuli zingine sio kusubiri embe chini ya mnazi
Akikujibu nitag mkuuOooook ... ni kweli sawa kabisa afisa mipango wa mbinguni kwa muumba nimekuelewa na umeleeweka vema ntakupinga vipi na wewe na Mungu mnakaa meza moja kuyapanga ya duniani
Lakini unakumbuka mlipanga kumpa uraisi wa milele, na kisha mkamteua atakae mrithi baada yake. Ghafla kufumba na kufumbua leo hii tunaongozwa na Raisi mwanamke hakuna alie tarajia hilo.
Wakati huohuo mliempangia kuongoza milele kwa sasa yumo kwenye shimo la JEHANAMU anaungulia madhambi yake ya udhalimu na yule mrithi wake mliempanga na kumteua kwasasa anaishi kama digidigi
Bado tu hamjajifunza !!!???
Huu ni msumali wa Moto mnoooo umemaliza kila kitu [emoji1666][emoji1666]Oooook ... ni kweli sawa kabisa afisa mipango wa mbinguni kwa muumba nimekuelewa na umeleeweka vema ntakupinga vipi na wewe na Mungu mnakaa meza moja kuyapanga ya duniani
Lakini unakumbuka mlipanga kumpa uraisi wa milele, na kisha mkamteua atakae mrithi baada yake. Ghafla kufumba na kufumbua leo hii tunaongozwa na Raisi mwanamke hakuna alie tarajia hilo.
Wakati huohuo mliempangia kuongoza milele kwa sasa yumo kwenye shimo la JEHANAMU anaungulia madhambi yake ya udhalimu na yule mrithi wake mliempanga na kumteua kwasasa anaishi kama digidigi
Bado tu hamjajifunza !!!???
Hizi kenge zingine humu zinakera sana aliyekuambia kila anaekufa anapumzika kwa amani ninani??Aisee Kuna watu hata Kama Ni chuki hii imezidi.Death is the only way for all of us tumuache uyu mzee apumzike kwa amani
Mataga wengi ni viaziHizi kenge zingine humu zinakera sana aliyekuambia kila anaekufa anapumzika kwa amani ninani??
Jamaa wanakera sana aiseeMataga wengi ni viazi
Tuishi nao hvyo hvyoJamaa wanakera sana aisee
Nimekusoma mkuu[emoji120]Tuishi nao hvyo hvyo
Lowassa ni maiti inayo chechemea !
Mungu mwema bado tunaye.Yule kama si leo, kesho !
Kakojoe ukalaleYupo vipindi vyote, akikaribia kumaliza kipindi cha mwisho wewe mwenyewe utarudi kuomba katiba ibadirike aongeze kipindi kingine cha tatu
DuhChakuzingatia tu, wakati huo (2020) kuna uwezekano baadhi ya watu hatutakuwa nao, kimwili au kisiasa, akiwemo Magufuli mwenyewe
Hiyo imenitisha!! kah!
Mungu fundiInajulikana kabisa duniani na mbinguni Rais Magufuli ataendelea kuongoza kwa kipindi kingine cha miaka 5. Hawa wanaosema ataongoza kwa kipindi kimoja tu ni wehu.
Tunanaenda na mama 🤣🤣🤣🤣🤣MZEE TULIA TUKUTANE 2025 ..DR MAGUFULI TUNAE SECOND TERM ...jipange kisaikolojia..tu tunataka Amani basi….
Meza imepinduliwaWananchi kwa 100% wanamtaka Dkt Magufuli atawale mpaka 2040. Tena kwa taarifa mleta mada, wananchi wako tayari kuingia mtaani kumtetea Dkt Magufuli ili aendelee kuwa rais, hao mafisadi na walafi wa madaraka waliokabidhi nchi kwenye mikono ya wezi na familia zao hawana nafasi!
Kawa mwendazakeAnaweza kurudi kimabavu kama ilivyo desturi ya madikteta wengi Duniani. Lakini kumaliza huo muhula itakuwa mtihani.
Makosa yote yatafanyika lakini sio la kuwapa chadema nchi.neverOooook ... ni kweli sawa kabisa afisa mipango wa mbinguni kwa muumba nimekuelewa na umeleeweka vema ntakupinga vipi na wewe na Mungu mnakaa meza moja kuyapanga ya duniani
Lakini unakumbuka mlipanga kumpa uraisi wa milele, na kisha mkamteua atakae mrithi baada yake. Ghafla kufumba na kufumbua leo hii tunaongozwa na Raisi mwanamke hakuna alie tarajia hilo.
Wakati huohuo mliempangia kuongoza milele kwa sasa yumo kwenye shimo la JEHANAMU anaungulia madhambi yake ya udhalimu na yule mrithi wake mliempanga na kumteua kwasasa anaishi kama digidigi
Bado tu hamjajifunza !!!???