Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Bado una mzuka....😂😂Mtaandika utumbo weeeeeeee, kisha mtaanza kuutoa huooo utumbo weeeeee, mkichoka kalaleni.
WATANZANIA TUMESHASEMA NA KUAMUA JPM NI MPAKA 2035.
Na mnavyokomalia hakai term ya pili ndio mnatupa mzuka na sisi wa TZ tukomaë nae mpaka term ya nne.
Akikujibu unitag maamBado una mzuka....[emoji23][emoji23]
Niache kwanza mkuu Leo nimefunga.😃😃Rudia Tena haya maneno leo!
Huyu "mchambuzi wa kisiasa" mpaka anatoa mawazo haya, alikuwa anajua kinachoendelea chini kwa chini. Deep state ilikuwa imefanya maamuzi yake na ilikuwa imemaliza. Ilikuwa bado utekelezaji tu"Naendelea kutoa ushauri kwa vijana wa ccm, kujaribu kuchagua upande sahihi mapema na sio kukesha kupyauka, leo unamtukana huyu, kesho unamtukana yule, mwisho unajikuta unatakiwa kumsifia mtu uliemtukana jana, utasimamaje? Vijana muwe wenye hekima sana, na pengine mjitaidi kunyamaza kimya, unaedhani ana nguvu leo, kesho unaweza kumkuta ni laini kama siagi......kuni zinawaka moto sana...."
vijana wa CCM kuna ujumbe wenu hapa. kama utabiri umekamilika, basi chukueni huo ushauri utawasaidia na hasa MATAGA
Na yule alikuwa anamdhihaki kwa kupiga push ups?Lowasa bado yupo hai, anavuta tu pumzi ya Mungu bureee
Alivyochaguliwa kwa kishindo akaenda wapi?Uzi huu hauna maana yoyote , MAGUFULI alichaguliwa Kwa kishindo , CCM walitoa kipigo cha kufa mtu Kwa upinzani ,kipigo cha mbwa mwizi
Mungu kagoma kaona hafai si mlisema kaletwa na Mungu nyinyi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Rais magufuli anatutosha,anatufaa tumwombee Mungu atawale hadi 2030
Kaondoka na harudi tenaaaaaaaaaa.Uzi huu hauna maana yoyote , MAGUFULI alichaguliwa Kwa kishindo , CCM walitoa kipigo cha kufa mtu Kwa upinzani ,kipigo cha mbwa mwizi
Waislam tunasema :Uzi huu hauna maana yoyote , MAGUFULI alichaguliwa Kwa kishindo , CCM walitoa kipigo cha kufa mtu Kwa upinzani ,kipigo cha mbwa mwizi
Hiki kifo utadhani kuna watu walikiona, kuna yule jamaa wa humu aliandika comment yake mwaka 2020 kwamba "mwakani Taifa litakua na msiba" bado huwa namtafakari sana. Na pia akasema nchi itaongozwa na mwanamkeHuyu "mchambuzi wa kisiasa" mpaka anatoa mawazo haya, alikuwa anajua kinachoendelea chini kwa chini. Deep state ilikuwa imefanya maamuzi yake na ilikuwa imemaliza. Ilikuwa bado utekelezaji tu
Anee link CheHiki kifo utadhani kuna watu walikiona, kuna yule jamaa wa humu aliandika comment yake mwaka 2020 kwamba "mwakani Taifa litakua na msiba" bado huwa namtafakari sana. Na pia akasema nchi itaongozwa na mwanamke
Raha ju'o, huṁ tene śodhisaAnee link Che
...... Anakula moto mwanzo mwenga [emoji1787][emoji1787][emoji1787] Shubaamiit zake [emoji23][emoji23]Waislam tunasema :
"... laa yazidu dhwalimina ila khasara ..."
Tafsiri: ...hatozidishiwa mdhulumati ila atapata hasara ...
Hiyo ndio hasara ya kudhulumu uchaguzi wa kishindo akadhani amepata faida kumbe hasara ya umauti ilikua inamsubiri mbele yake
Masikini MAGUFULI pengine angetenda haki akakubali matokeo halali labda angebaki hai kushuhudia utawala wa CDM pole yake
Kibaya zaidi sio hasara ya kifo tu bali anahasara ya adhabu ya umauti wa milele kutoka na matendo yake ya kidhalimu, kuua watu, kuteka watu, kusingizia watu kesi yaani huko aliko anakula moto mwanzo mwisho Shubaamiti zake !!! [emoji16][emoji16][emoji16]
Mtaandika utumbo weeeeeeee, kisha mtaanza kuutoa huooo utumbo weeeeee, mkichoka kalaleni.
WATANZANIA TUMESHASEMA NA KUAMUA JPM NI MPAKA 2035.
Na mnavyokomalia hakai term ya pili ndio mnatupa mzuka na sisi wa TZ tukomaë nae mpaka term ya nne.
Itapendeza tukifika 2020 tuwe hatunaye kimwili.
Natamani kuona hili bandiko lako 2020 baada ya uchaguzi
Weweee!! Wacha bana!!Hiki kifo utadhani kuna watu walikiona, kuna yule jamaa wa humu aliandika comment yake mwaka 2020 kwamba "mwakani Taifa litakua na msiba" bado huwa namtafakari sana. Na pia akasema nchi itaongozwa na mwanamke
Naomba link au unitag kqenye huo uzi niusome mkuu.Hiki kifo utadhani kuna watu walikiona, kuna yule jamaa wa humu aliandika comment yake mwaka 2020 kwamba "mwakani Taifa litakua na msiba" bado huwa namtafakari sana. Na pia akasema nchi itaongozwa na mwanamke