Uwezekano wa Magufuli kuongoza nchi kwa kipindi cha pili haupo

Hiki kifo utadhani kuna watu walikiona, kuna yule jamaa wa humu aliandika comment yake mwaka 2020 kwamba "mwakani Taifa litakua na msiba" bado huwa namtafakari sana. Na pia akasema nchi itaongozwa na mwanamke
Kuna watu pengine Mungu huwatumia kupeleka jumbe ili wenye akili waelewe
 
Alienda kumuaga..
 
Hii posti iliyobandikwa tarehe 22 Julai 2019 ilitangulizwa kwa makusudi kama unabii kuandaa mazingira ya kisaikolojia kumbe ajenda ilkuwa kwa mtindo mwingine kabisa.

The deal was done what is next?
 
Kutokana na kile kinachoenezwa kwenye mitandao kwamba kuna namna JPM alifanywa huyu ni shahidi wa muhimu sana (Mbabaishaji Nguseroh-1954)

Kwa hiyo wanaharakati mficho wasitishiwe wana sababu na ushahidi japo wa kimazingira uovu ulifanyika hivyo ni sharti uchunguzi ufanywe kuondoa sintofahamu ambayo imejengeka.
 
There are those people who know what is happening,there are those who do not know what is happening and there are those who make things happen!
The question is which side are you?
 
Hatimaye aligombea na akashinda kimagumashi sana
 
Nchi iliingia uchumi wa kati na Magufuli alishinda kwa 84% kinyume kabisa na hizi ngonjera zako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…