Uwezekano wa Magufuli kuongoza nchi kwa kipindi cha pili haupo

Itapendeza tukifika 2020 tuwe hatunaye kimwili.
 
ACHA KUPIGA RAMLI WEWEEEEEE. TATIZO LENU MNAANGALIA MALALAMIKO YA WAPIGA DEAL KUFANYA TAHMINI YA KUKUBALIKA KWA JPM. MAGUFULI YUPO STRAIGHT NA WANANCHI TUMEAMUA KUWA STRAIGHT BAAADA YA KUONA SHORT CUT HAZINA FAIDA. ACHANA NA WAPIGA DEAL WANAKUPOTEZEA MUDA NA KUKUHARIBIA MAISHA TUUU
 
Mtaandika utumbo weeeeeeee, kisha mtaanza kuutoa huooo utumbo weeeeee, mkichoka kalaleni.
WATANZANIA TUMESHASEMA NA KUAMUA JPM NI MPAKA 2035.
Na mnavyokomalia hakai term ya pili ndio mnatupa mzuka na sisi wa TZ tukomaë nae mpaka term ya nne.
Jiseme mwenyewe vifaranga vyako,wazazi na ukoo wako usitujumuishe watanzania wote jiinga weee
 
Kuinusuru ccm inabidi wabadili beki hauziki kwa mashabiki,team za ndani hata za nje.Beki mzuri ni yule anaeuzika Kwa Makundi yote,
 
hilo wala usiwaze. the guy will straight sail through for the second term!!!, kwa hilo wala usipoteze muda
 
Niliwahi kusema kuwa kile kitendo cha kumrudisha Lowassa chamani na kumrudisha Rostam Aziz nchini ni cha kuangalia kwa jicho la tatu!!!

Wamerudishwa kuzima nguvu ya Jk.Ila mpasuko ni MKubwa wasugua benchi hawafurahi wahamiaji haramu walioshiriki kuzipunguxa kura za ccm wakiteuliwa
 
Nani mpiga dili Makatibu wenu wakuu, Lowassa, Rostam au.
 
Anachotakiwa kufanya magu,kwanza akusanye majina yoote ya wanaccm wajumbe anaohisi wanampinga.akimaliza awatengenezee ugomvi wakijibu awaengue kwenye wajumbe na awanyang'anye kadi za uwanachama.

Pili aimalishe system ya usalama wake.
 
Anachotakiwa kufanya magu,kwanza akusanye majina yoote ya wanaccm wajumbe anaohisi wanampinga.akimaliza awatengenezee ugomvi wakijibu awaengue kwenye wajumbe na awanyang'anye kadi za uwanachama.

Pili aimalishe system ya usalama wake.
 
U uzi ume vamiwa na mashabiki,mapunguani .mafata mkumbo
Halafu kila anayekuja anaishia kusema unaota, jpm atashinda kwa kishindo wala hawajengi hoja yeyote ya maana kuwa atashindaje.
 
Hivi hakuna mwanya wa mwenyekiti kujipitisha no matter what?.Nauliza tu...!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…