Uwezekano wa Magufuli kuongoza nchi kwa kipindi cha pili haupo

Inawezekana anachukiwa na wachache wa jamiiforum lakini huku mtaani jamaa anapendwa kinyama yani,we endelea kuota ndoto ukiamka utajikuta Ufipa kwenye ofisi iliyochoka.
 
lakini huyo lowasa umemuona Siku za hivi karibuni? Hata kutembea anashikiliwa kwa mkono, kifupi Mzee amechoka Sana. Yule lowassa wa ukawa ni tofauti kabisa na lowasa wa sasa.
 

Natamani kuona hili bandiko lako 2020 baada ya uchaguzi
 
Umejitahidi, ila usemayo siyo kweli hata kidogo, wao ndiyo wapambane na Mwenyekiti, and not vice versa...
 
Daaah....! Huko mwisho sijui umemaliziaje !?
 
Wanaojua mzizi wa haya yanayoendelea ni wachache sana.

Hamjiulizi kwanini jiwe mpaka sasa kigugumizi? Hujuma anazofanyiwa ni reaction ya kitendo cha jiwe kujipeleka kwenye kambi ya Lowassa.
Yaaani wewe ni mwenyekiti halafu unajikomba kwenye kambi ya mwanachama !? Kweli akili ni nywele kila mtu ana zake. Pwngine wewe una kipara kama January
 
Na Rais anaye fuata atapendekezwa na kupitishwa na wenyeviti wa mtaa wa ccm ! Wacha tusakate rumba maana si kwa akili hizii !
 
Magufuli is my president 2020...ni bahati mbaya tu wastaafu wamegoma kustaafu.Ila tutampigania JPM
 
Hayo ya kuishi kwa raha muachie yeye ! Au unataka afutiwe pension !?
 
Mku inawezeka anamwekitia Mtu Ngoyai ni mwanasiasa anaweza kuejkiti vile awezavyo mwisho wa mpango tukamwona ni mzima kwenye afya tele.
Mungu ampe uzima tele Ngoyai
Yule kama si leo, kesho !
 
Anza tuition ili umuelewe, maana jamaa yupo yupo sana tu !
 
Nimesoma nikawa sikuelewi sababu ya kuandika kwa hisia zaidi. Zaidi sana nimekuona kama mtu usiejua unachoandika ulipodai Lowassa anaweza kuwa mgombea wa CCM 2020. Nikaacha na kusoma.
Hata mie, niliruka mpaka mwisho halafu mwandishi simjui .....nikasonya tu !
 
Quinine,
Uchambuzi wako ni mzuri sana na very interesting ila umekosea kitu kimoja, kumuweka EL
Umeshawahi kumuona EL siku za karibuni? Anaumwa sana. Hata kampeni tu hataweza kufanya. Njoo na uchambuzi mwingine ila Lowasa mfute kabisa kwenye ramani, kwanza hatumii akili, angekuwa anatumia akili asingeihama ccm. Alikuwa anajua kabisa kuwa ccm wanaiba kura ila na yeye akajileta cdm kwa hasira.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…