Uwezekano wa mimba kuingia

me nina swali hivi mbegu za mwanaume zinawezapita hata kwenye nguo??let say mtu amevaa chupi,then skin tight na suruali je hata hapo zinapenya??najiulizaga kweli ya maswali.
zinapita.nakushauri uwe makini.kaa chonjo!
 

Asanten wana jf
nachokumbuka hakuingiza uume wake ukeni ila alivyomaliza nilihisi nimelowa chupi na sehemu za juu za ukeni ndio nikapata wasiwas
 
Asanten wana jf
nachokumbuka hakuingiza uume wake ukeni ila alivyomaliza nilihisi nimelowa chupi na sehemu za juu za ukeni ndio nikapata wasiwas

kama dushelele haikuzamishwa ndani basi shaka ondoa binti...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…