Kazakh destroyer
JF-Expert Member
- Nov 16, 2017
- 3,278
- 6,843
Mkuu umeshaweza kukaanga mayai.Sio humu tu,nenda kwenye mitandao mingi tu,sikiliza vipindi vya redio,televisheni,maofisini,mashuleni,utajionea ukweli huu,haraka ya kujibu bila kuielewa hoja,kujibu hoja kwa matusi,kejeli na upuuzi mwingi.Kujenga hoja bila ushahidi,kutumia lugha chafu au kiswahili kibovu,tabia ya kujifanya kujua kila kitu,hata kwenye ndoa zetu shida ni hii hii.Je tatizo huwa ni nini? Karibuni kwa michango yenu