Uwezo wa kujenga hoja wa mashabiki wa Ali Kiba unasikitisha na kuhuzunisha


Boshoo alisema

Wanaishi na chuki zao ila hawazioneshi, kama wakike kasoro maziwa tu hawanyonyeshi.../
 
niliuliza Kwanini mtoa mada anasema mashabiki wa Alikiba wana IQ ndogo,in other words nilikua nasema ni impossible kuwa na watu wenye IQ ndogo peke yake...Posts zimefutwa..kulikua na maneno humu..balaa...

Okay, binafsi huwa siuelewi mtazamo wa washabiki wa Diamond vs Ali Kiba.

Maana mtu ukikosoa cha huyu, wa huku wanakuwakia, wanadhani kila anayekosoa kitu ni mpinzani. Wamekuwa kama CDM vs CCM. Wanatetea hata pumba za hao wasanii wao.

Hivyo huwa najaribu sana kukwepa mijadala ya Diamond vs Kiba.
 
Nimesema idea ya wimbo huo chanzo chake kilianzia kwenye jina la album yao

Halafu ulivyozungumzia hapo ni kama unazungumzia habari ambayo ilifanyika karne ya tatu ambako dunia ilikua sio kijiji

Nakupa info tu kwamba dax kabla hajachia video ya wimbo wa book of revetation "official" tayari alisha i-reveal idea ya hiyo video ambayo alikua bado hajaiachia

Hili swala linaweza likawa gumu kwako kulielewa probably labda kwasababu huna fani hiyo lakini kwa mtu ambaye anajihusisha na hizi kazi habari kama hii ni keyword tosha
 
Wenzako wamekuzidi kihoja
 
Mkulungwa tuna ugomvi mimi na wewe?
 
[QUOTE="Scars, post: 35014102, member: 427454"


Nimesema idea ya wimbo huo chanzo
chake kilianzia kwenye jina la album yao

Halafu ulivyozungumzia hapo ni kama
unazungumzia habari ambayo ilifanyika
karne ya tatu ambako dunia ilikua sio kijiji

Nakupa info tu kwamba dax kabla
hajachia video ya wimbo wa book of
revetation "official" tayari alisha i-reveal

idea ya hiyo video ambayo alikua bado hajaiachia

Hili swala linaweza likawa gumu kwako
kulielewa probably labda kwasababu huna fani hiyo lakini kwa mtu ambaye
anajihusisha na hizi kazi habari kama hii
ni keyword tosha
[/QUOTE]
Mimi ni music expert na nina diploma ya mambo hayo naelewa kila kitu kama hufahamu...suala hapa sio kuongelea kama unavyojitetea wewe....suala ni kwamba Diamond alipata wapi hiyo idea ya migos??! ana connection gani ya kuipata hiyo idea iliyokuwepo before official song released!? na nikakupa swali kuna wimbo hapa Bongo unaitwa Tina ulitoka 2004 una idea zinazofanana na zilioendwa na walk like talk it..je napo kina Migos wameiba idea huko? na nikamaliza hakunakitu kigeni dunian mzee..unajitahidi kuitetea hoja yako lakini ilishapanguliwa hapo juu na kina Jose kwamba zilipendwa ndio ilianza kutoka kabla ya walk it like talk it usitake kulazimisha ionekane diamond amecopy idea kwa kung'ang'ania kusema idea ya migos eti ilikuwepo kabla..je kama ilikuwepo diamond ana connection gani mpaka kaipata hii idea akatoa official song before migos? hiki swali mbona unalikwepa?
 
Mkulungwa tuna ugomvi mimi na wewe?
Hapana mkuu relax,,ila nakuonaga wa ajabu unavyokuwaga mwepesi wa kutoka lugha chafu kumpigania Alikiba upon tofauti sana na jamaa Waberoya ambaye anakupa facts akiwa anaongelea upande wa Alikiba mpaka mtu inasema dah huyu jamaa hapa haina haja tena ya kumpinga...halafu kitu kingine ni kwamba kwakuwa wewe ni mshabiki wa Kiba basi unaamin una haki ya kumtukana na kumpiga majungu diamond hakuna Uzi umeuanzisha humu bila kuitaja WCB lazima tu utupe kijembe na kejeli kwa upande mwingine mbona wenzako hawapo hivyo?? halafu pia ni mnafki Leo unaweza kusema hivi kesho inasema hivi..sasa Mimi nikishaonaga mtu ana unafki na chuki kwa mtu mwingine huwa namshangaa sana
 
Atakuwa na IQ ndogo au siyo?
Hakuna mwanamziki yoyote hapa bongo mwenye mashabiki pekee wenye IQ ndogo au kubwa mashabiki wamechanganyikana wote diamond na kiba Wana mashabiki wenye IQ ndogo na kubwa pia labda aseme kiwango Cha mashabiki wenye IQ ndogo au kubwa wanamshabikia msanii hapa nitamuelewe
 

Mnapimaje hizo IQ za washabiki?
 
Nikajuaga mtu wa maana mbona utumbo huu?kushabikia si hisia zako km we unamkubali amba mshabikie we hata hiyo id huitendei haki u amshabikia unayemkubali bc umetunga utumbo sana nasema tena King Kiba ni mkali wa muziki kuliko huyo,kifupi nachukia nyimbo za matusi
 
Mkuu umeshaset mind yako juu yangu na hauwezi kuibadilisha, Hajanijua vizuri nifatilie tena, kuhusu kutukana, hapana kuhusu unafiki pia hapana, Majungu napiga sana tena sana..

Mimi Mpenzi wa Ushabiki huu

Messi Vs Ronaldo
Simba Vs Yanga
Manchester Vs Arsenal
Barcelona Vs Real madrid

Ukishindwa kunielewa hapa basi hutokuja kunielewa,Mimi ukinijibu kwa matusi nami ntakujibu kwa matusi vilevile uwa silali na deni, unijibu kishabiki ntakujibu kishabiki, fact kwa fack, Pumba kwa Pumba

Mi naenjoy Battle ya Kiba na Mond Sina chuki na Mtu wala msanii yoyote,Nipo For fun, Hapa ni kijiweni mkuu Enjoy Battle la kijiweni
 
Mkuu uko karibu na duka hapo upige coca Cola ntalipa??
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila mtoa Mada inaonekana Huu utimu unauchkulia serious Saaaaana.

Nilichogundua recently kuhusu hizi teams mashabiki wengi wako tu hapa kujifurahisha, kupoteza mda na kuongeza siku Za kuishi. Nothing Personal. Ni Kama Timu za mpira tu. Kumbuka siku hizi vijiwe hamna, Humu ndo seem ya kupiga soga. Maskani.

Sasa unavoweka mambo ya IQ Sijui Mara watu wanamchukia huyo msanii wako blah blah unajiumiza mwenyewe, wenzako wanakuangalia, kukudharau, na kukucheka. Kwani unahisi Kuna mtu hajui Nani ndo msanii bora hapa bongo kwa Sasa? Ila ni ushabiki tu nothing personal. Hata Kwa wenzetu upo huo.

Ushauri Wangu Relax, Kunywa Maji na sikiliza hiii nyimbo ya Taylor Swift "You need To Calm Down". Ni hayo tu Mkuu.
 
Saf sana mkuu... maana hata yeye mtoa mada kuna watu wanamuelewa japokuwa ni kigagula [emoji3]

...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…