Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Tuna visa vingi sana vya mauaji ya kutisha ya watu wa kawaida na watu walemavu hasa wenye ulemavu wa ngozi
Tuna visa vingi vya mauaji ya kikatili na watu kunyofolewa viungo-tukio la karibuni kabisa likiwa la mjini Arusha ile maiti iliyokutwa chumbani kwenye hotel moja maarufu ikiwa haina kichwa na viungo kadhaa.
Tuna mauaji ya koromeo watoto wadogo na hata vikongwe na saa nyingine watu wenye nahitaji maalum tuna upotevu mkubwa sana wa watu hasa watoto tungekuwa tunaweka takwimu za siku wiki mwezi na mwaka tungetafuta chanzo na ufumbuzi wa haraka lakini bahati mbaya sana tunaishi kwa mazoea na kudhani kila kitu ni kudra za Mwenyezi Mungu Tunapotoka.
Dunia inaumwa!Madaraka utajiri maarufu na kupendwa vinaangamiza roho nyingi zilizokuwa na hatia tunaichosha dunia iliyokwishazeeka.Haya yote tunayoyatafuta ya kumiliki utajiri madaraka umaarufu na kupendwa yanatusababisha kumiliki roho zenye kisasi juu yetu kisasi cha ukatili tuliofanya kwenye miili yao Kwa ajili ya kupata damu na viungo.
Visa vya watu wanaokufa kimazingara, visa vya watu wanaokufa kwa ajali za kutengeneza visa vya watu wanaouliwa kwa Mateso na kuchukuliwa viungo yao roho zao hazina nguvu ya kutenda utakayo kama visa vya mtu anayepotea na kufa bila kujijua na ndugu na jamaa wakibaki na sintofahamu ya kwamba uko hai au umekufa.
Maneno huumba, ile hali tu ya maiti yako kuonekana na kuzikwa hupunguza nguvu ya roho yako kuleta matokeo yanayotakiwa na waganga na wachawi wa level ya chini ndio hutumia viungo halisi na reflections za maiti halisi kufunika ukweli watu wabaya kabisa na wa kuogopwa mno ni wale wanaopoteza watu na baadae kuwaangamiza na kutumia malighafi za mhanga kwa lengo kusudiwa.
Hii hurahisisha mengi kwakuwa katika ulimwengu wa physical bodies hajulikani kama umekufa au la na watu huogopa kuweka matanga wakihofia siku moja unaweza kuonekana. Kwahiyo hii trend ya kupotea kwa watu kila siku ina maana yake kubwa sana isiyosemwa wala kujulikana na wengine na kama kuna ndugu jamaa au rafiki alishawahi kupotea kimoja.
Tafakari post hii
Tuna visa vingi vya mauaji ya kikatili na watu kunyofolewa viungo-tukio la karibuni kabisa likiwa la mjini Arusha ile maiti iliyokutwa chumbani kwenye hotel moja maarufu ikiwa haina kichwa na viungo kadhaa.
Tuna mauaji ya koromeo watoto wadogo na hata vikongwe na saa nyingine watu wenye nahitaji maalum tuna upotevu mkubwa sana wa watu hasa watoto tungekuwa tunaweka takwimu za siku wiki mwezi na mwaka tungetafuta chanzo na ufumbuzi wa haraka lakini bahati mbaya sana tunaishi kwa mazoea na kudhani kila kitu ni kudra za Mwenyezi Mungu Tunapotoka.
Dunia inaumwa!Madaraka utajiri maarufu na kupendwa vinaangamiza roho nyingi zilizokuwa na hatia tunaichosha dunia iliyokwishazeeka.Haya yote tunayoyatafuta ya kumiliki utajiri madaraka umaarufu na kupendwa yanatusababisha kumiliki roho zenye kisasi juu yetu kisasi cha ukatili tuliofanya kwenye miili yao Kwa ajili ya kupata damu na viungo.
Visa vya watu wanaokufa kimazingara, visa vya watu wanaokufa kwa ajali za kutengeneza visa vya watu wanaouliwa kwa Mateso na kuchukuliwa viungo yao roho zao hazina nguvu ya kutenda utakayo kama visa vya mtu anayepotea na kufa bila kujijua na ndugu na jamaa wakibaki na sintofahamu ya kwamba uko hai au umekufa.
Maneno huumba, ile hali tu ya maiti yako kuonekana na kuzikwa hupunguza nguvu ya roho yako kuleta matokeo yanayotakiwa na waganga na wachawi wa level ya chini ndio hutumia viungo halisi na reflections za maiti halisi kufunika ukweli watu wabaya kabisa na wa kuogopwa mno ni wale wanaopoteza watu na baadae kuwaangamiza na kutumia malighafi za mhanga kwa lengo kusudiwa.
Hii hurahisisha mengi kwakuwa katika ulimwengu wa physical bodies hajulikani kama umekufa au la na watu huogopa kuweka matanga wakihofia siku moja unaweza kuonekana. Kwahiyo hii trend ya kupotea kwa watu kila siku ina maana yake kubwa sana isiyosemwa wala kujulikana na wengine na kama kuna ndugu jamaa au rafiki alishawahi kupotea kimoja.
Tafakari post hii