Uwezo wa Lily Ommy umeshuka toka aingie Wasafi Media

Uwezo wa Lily Ommy umeshuka toka aingie Wasafi Media

MimiNiMakini

Member
Joined
Jun 19, 2022
Posts
7
Reaction score
20
lilommy-20220705-0001.jpg

"Huyu jamaa anachojua saizi ni kusema "and stuff like that" basi 😁 "

Nimekuta caption hii huko twitter, aisee watu wa twitter wamefunguka mambo mengi sana kuhusu Mtangazaji Lil Ommy.

Kiufupi Inadaiwa kwamba uwezo wa Lil Ommy tangu aje Wasafi umeshuka sana, Jamaa akiwa Times Fm alikuwa moto sana Kuliko sasa Akiwa Wasafi. Watu wengi wanadai kwamba Hivi sasa Lil Ommy anavimaneno vyake ambavyo anaweza akaviongea hata mara 1000 katika Kipindi chake, Mfano, Yo Ready Know, Kizazi Sana, Ushindi ni Mwingi, Ladies and Gentlemen, Boys and Girls.

Watu wengi wanadai kwamba jamaa anaigiza sana anajikuta Black American Fulani hivi kumbe ni wa Tabora huko. Mbali na kudai kwamba uwezo wa Lil Ommy kushuka, wanadai pia kwamba Lil Ommy hajui kuvaa kabisa.

Maoni Yangu

Binafsi sizani kama uwezo wa @lilommy umeshuka, tatizo ni kwamba Ukiwa Wasafi tu utaonekana hujui tu, Imagine angekuwa Clouds Leo hii Angeonekana Mtangazaji bora. Wasafi inadamu fulani tu hivi ya kuchukiwa.

Lil Ommy bado ni bora sana tena upande wa Interviews. Kuhusu yeye kurudia rudia maneno, sizani kama ni Kosa, Of course kila mtangazaji inabidi awe na Catch Phrases zake ili ajibrand zaidi na ajitofautishe na Wengine. Leo hii ukisikia neno "KIZAZI SANA" Tayari unafikiria kuhusu Lil Ommy, kwahiyo hizi Catch Phrases ni muhimu ila hazitakiwi kuzidi sana wakati unatangaza.

Suala la Kuvaa siliingilii, ila suala la kujikuta mmarekani, sizani kama ni tatizo ni identity yake tu. Uwezo wa Lil Ommy bado ni mkubwa sana.

VIPI KWA MTAZAMO WAKO, uwezo wa @lilommy umeshuka au haujashuka?
 
Mzee wa and stuff like that. Kiswa-english chake ni cha kipumbavu kisi ho hata na maana. Sijui kwa nn hawezi kutangaza bila kutumia maneno ya kiingereza ambayo yamepitwa na muda
 
Lil Ommy Swagga zake hazijabadilika tangu akiwa Dj wa Voice Of Tabora (V.O.T) kwa tunaomfahamu toka kitambo
 
Wasafi Media ni Kituo cha Familia, pale bila Uchawa hutoboi, amefunikwa sana angefanya juu chini atoke huko si mahala pake,
Kuhusu kuvaa ni kweli hajui hajui hajui kabisaaaa
 
Huyu jamaa kiukweli akiwa Kule Times Fm alikua Three Times better compare na sasa hivi

Kuna yule bwege anajiita Adeleke mtoto wa masaki Ray Mshana hakuna lolote zaidi ya kujiita mtoto wa Masaki
 
Kule si ana be controlled na remote hayupo huru tena kama zamani just imagine asiwasifie konde gang wala ali kiba hata wakitoa nyimbo nzuri kule ni kumsifia boss tu yaani ni sawa na mwanasiasa atoke chadema na kwenda CCM hata kama alikuwa anatoa madini kiasi gani akifika huko anakuwa mgonga meza.
 
Kule si ana be controlled na remote hayupo huru tena kama zamani just imagine asiwasifie konde gang wala ali kiba hata wakitoa nyimbo nzuri kule ni kumsifia boss tu yaani ni sawa na mwanasiasa atoke chadema na kwenda CCM hata kama alikuwa anatoa madini kiasi gani akifika huko anakuwa mgonga meza.
Mbona hata huko Clouds na Efm huwezi kuisifia Wasafi hata kama kuna maeneo wanafanya vizuri.Tuache double standard tuzungumzie industry ya mziki kwa ujumla.
 

"Huyu jamaa anachojua saizi ni kusema "and stuff like that" basi 😁 "

Nimekuta caption hii huko twitter, aisee watu wa twitter wamefunguka mambo mengi sana kuhusu Mtangazaji Lil Ommy.

Kiufupi Inadaiwa kwamba uwezo wa Lil Ommy tangu aje Wasafi umeshuka sana, Jamaa akiwa Times Fm alikuwa moto sana Kuliko sasa Akiwa Wasafi. Watu wengi wanadai kwamba Hivi sasa Lil Ommy anavimaneno vyake ambavyo anaweza akaviongea hata mara 1000 katika Kipindi chake, Mfano, Yo Ready Know, Kizazi Sana, Ushindi ni Mwingi, Ladies and Gentlemen, Boys and Girls.

Watu wengi wanadai kwamba jamaa anaigiza sana anajikuta Black American Fulani hivi kumbe ni wa Tabora huko. Mbali na kudai kwamba uwezo wa Lil Ommy kushuka, wanadai pia kwamba Lil Ommy hajui kuvaa kabisa.

Maoni Yangu.
Binafsi sizani kama uwezo wa @lilommy umeshuka, tatizo ni kwamba Ukiwa Wasafi tu utaonekana hujui tu, Imagine angekuwa Clouds Leo hii Angeonekana Mtangazaji bora. Wasafi inadamu fulani tu hivi ya kuchukiwa.

Lil Ommy bado ni bora sana tena upande wa Interviews. Kuhusu yeye kurudia rudia maneno, sizani kama ni Kosa, Of course kila mtangazaji inabidi awe na Catch Phrases zake ili ajibrand zaidi na ajitofautishe na Wengine. Leo hii ukisikia neno "KIZAZI SANA" Tayari unafikiria kuhusu Lil Ommy, kwahiyo hizi Catch Phrases ni muhimu ila hazitakiwi kuzidi sana wakati unatangaza.

Suala la Kuvaa siliingilii, ila suala la kujikuta mmarekani, sizani kama ni tatizo ni identity yake tu. Uwezo wa Lil Ommy bado ni mkubwa sana.

VIPI KWA MTAZAMO WAKO, uwezo wa @lilommy umeshuka au haujashuka?
Achana na wala unga hao, MVP anatisha kama njaa
 
Back
Top Bottom