Uwezo wa Lily Ommy umeshuka toka aingie Wasafi Media

Kwani huko EFM wana msifia Mondi ? acha watu wafanye mambo yao
 
Kuchanganya kiingereza ni tatizo kubwa sana hasa kwa watangazaji wa Clouds fm
 
Watu wa Twitter !!!
 
Katika watu siwaelewagi ni wanaume wanene waliovimbiana,, huyu Kaka wa kwenye picha Ni ana mashavu alivyo mfupi na hizo nguo zake anafanana diaba,, hana swagger
 
Katika watu siwaelewagi ni wanaume wanene waliovimbiana,, huyu Kaka wa kwenye picha Ni ana mashavu alivyo mfupi na hizo nguo zake anafanana diaba,, hana swagger
Kwani bibie tunaangalia muonekano wake au kazi yake kiujumla?
 
Mie nimejadili muonekano wake Kama kakijeba flani hivi, kanabeua ovyo tu
Sivizuri ujue mimi binafsi nilikuwa kama wewe niliwahi kujisemea zitakuwa na Mwanamke mwembamba kabisa maishani mwangu na nilikuwa nawabeza Sana Wanawake wa aina hii lakini huwezi amini nikajakufall in love na Mwanamke mwembamba kiasi ambacho sijitambui kwake hata marafiki zangu wakawa hawaamini ni mimi kweli lakini the end of the day tukawa kwenye mahusiano ya muda mrefu nilikuja kuachana ni kwasababu ya tofauti ya kidini na pressure nilizokuwa napata kwa ndugu zake maana manzi yeye alikuwa ni muislamu
 
Story yako hii sijakuuliza wala hainisaidii kitu,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…