Uwezo wa Ndege ya Mizigo iliyonunuliwa na Serikali ya Tanzania

Uwezo wa Ndege ya Mizigo iliyonunuliwa na Serikali ya Tanzania

BARD AI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
3,591
Reaction score
8,826
1685799385941.png

Aina - Boeing 767-300F
Uzito wa Mzigo - Tani 52.7 (Futi 15,469)
Kasi (Speed) - Kilomita 850/900 kwa Saa
Ujazo wa Mafuta - Lita 90,770 (Inatumia Dakika 28 hadi kujaza matenki yote)
Uzito wa Jumla - Kilogramu 185,060
Eneo la Kurukia - Mita 2408
Eneo la Kutua - Mita 1829

Chanzo: Boeing/Epic Flight Academy
 
Kumbe cha mtoto ukilinganisha na Airbus A380. Inayokunywa mafuta pipa kwa sekunde ikiwa angani. Matenki yake ni sawa na ujazo wa swimming pool saba.
 
View attachment 2644832
Aina - Boeing 767-300F
Uzito wa Mzigo - Tani 52.7 (Futi 15,469)
Kasi (Speed) - Kilomita 850/900 kwa Saa
Ujazo wa Mafuta - Lita 90,770 (Inatumia Dakika 28 hadi kujaza matenki yote)
Uzito wa Jumla - Kilogramu 185,060
Eneo la Kurukia - Mita 2408
Eneo la Kutua - Mita 1829

Chanzo: Boeing/Epic Flight Academy
Mimi nitasikitika sana kuona tena ndege hii inapark uwanjani na kuwa makazi ya popo wa Dar es Salaam!
 
Back
Top Bottom