Uwezo wa Roma Mkatoliki kutunga na kuandika nyimbo za harakati za kisiasa na utawala ni mdogo mno

Uwezo wa Roma Mkatoliki kutunga na kuandika nyimbo za harakati za kisiasa na utawala ni mdogo mno

Mtu akikwambia unaakili km ya kada wa CCM ni sawa na kukuita shoga
 
Mnapiga mabou mochawari mnajisifu mmeuwa...kama IQ yako ya kuvukia barabara huwezi kuelewa...mnavunja kidole gumba mnaacha cha Kati...Roma ni noma
 
Unamlinganisha na nani hadi useme uwezo wake ni mdogo? Naona umeandika huu uzi kwa mihemko.@Kawe Alumni,
 
''Kwetu Bima ya afya ni bora kuliko Ndege' anaitwa Roma
 
Mmekosa hoja sasa mmeamua kujuficha kwa wimbo wa Roman mcatholic
Nitolee wivu wako hao wakina mbaraka waliimba kutokana na nyakati zao, Roma naye anaimba kutokana na nyakati zake usitulazimishe wote tuwe na degree 4
 
Huyu kijana anauwezo mdogo wa kutunga na kuandika nyimbo kufikisha ujumbe wa aliokusudia. Badala yake amejikita kwenye hisia, mihemko na nadharia. Ila ukikaa na kusikiliza hakuna ujumbe unaoleweka.

Hawa vijana wangejifunza kwa majabali ya muziki waliotangulia akina marijani rajabu na wengine. Nimepata muda wa kusikiliza wimbo wa Roma mkatoliki sijaona cha maana wala meseji za kueleweka zaidi ya upayukaji tu. Nashangaa Kwanini watu wamehamaki wakati ni wimbo wa kawaida tu uliojaa hisia kuliko uhalisia

Mimi nilikuwa mfuasi wa nyimbo za Mr.Sugu, Profesa Jay, Solo thang na Afande Sele kwenye upande wa nyimbo za kufoka foka

Hawa wanamuziki wasasa sio wabunifu ni muda sasa tuwachoke
Mrisho mpoto alishawahi kusema ukisikiliza nyimbo zake mara mbili usipoelewa tambua huna uwezo wa kuzielewa
 
Back
Top Bottom