mahroof
Member
- Jul 9, 2015
- 50
- 63
Asalam Aleykum..
Uvutaji wa Sigara endapo utazingatiwa kwa kipimo maalumu unaweza kuleta matokeo chanya zidi ya magonjwa mbalimbali pamoja na kinga.
Yafuatayo na magonjwa yanayoweza kutibiwa au kukingwa kwa uvutaji wa sigara.
*Bacteria na Fangasi (Fungus):
Iwapo muathilika atatumia kwa kiasi na kwa kuzingatia mda kwa kutumia sigara moja baada ya masaa mawili
Iwapo ndani ya wiki tatu ugonjwa utakuwa umeshakoma. Sigara ina nicotine na cafein zinazo saidia kuua vimelea vya magonjwa tajwa.
*Maradhi ya Ngozi:
Matumizi sahihi ya sigara husaidia kufanya ngozi kuwa imara na kinga dhidi ya magonjwa.
*Kupunguza Uzito:
Endapo mtumiaji atatumia sigara zaidi ya mbili kila baada ya saa moja na baada ya chakula husaidia kupunguza uzito. Tafiti Chuo kikuu cha Wits cha nchini Afrika Kusini.
*Tiba dhidi ya Kansa:
Endapo mgonjwa wa Kansa atapewa sigara itamsaidia kupunguza kutawanyika kwa Kansa.
- Baadae nitakuja na hasara za uvutaji sigara.
Wasalaam,
Ramadhan Kareem..
Uvutaji wa Sigara endapo utazingatiwa kwa kipimo maalumu unaweza kuleta matokeo chanya zidi ya magonjwa mbalimbali pamoja na kinga.
Yafuatayo na magonjwa yanayoweza kutibiwa au kukingwa kwa uvutaji wa sigara.
*Bacteria na Fangasi (Fungus):
Iwapo muathilika atatumia kwa kiasi na kwa kuzingatia mda kwa kutumia sigara moja baada ya masaa mawili
Iwapo ndani ya wiki tatu ugonjwa utakuwa umeshakoma. Sigara ina nicotine na cafein zinazo saidia kuua vimelea vya magonjwa tajwa.
*Maradhi ya Ngozi:
Matumizi sahihi ya sigara husaidia kufanya ngozi kuwa imara na kinga dhidi ya magonjwa.
*Kupunguza Uzito:
Endapo mtumiaji atatumia sigara zaidi ya mbili kila baada ya saa moja na baada ya chakula husaidia kupunguza uzito. Tafiti Chuo kikuu cha Wits cha nchini Afrika Kusini.
*Tiba dhidi ya Kansa:
Endapo mgonjwa wa Kansa atapewa sigara itamsaidia kupunguza kutawanyika kwa Kansa.
- Baadae nitakuja na hasara za uvutaji sigara.
Wasalaam,
Ramadhan Kareem..