Anithape Senior Member Joined Nov 14, 2018 Posts 131 Reaction score 136 Oct 29, 2020 #1 Nimenunua kirikuu cha kugangia njaa mjini hapa. Lengo langu nataka kinitumikie japo miaka 2. Nawaomba ushauri, nikibebeshe maximum kilo ngapi? au gunia ngapi za mahindi? Asanteni
Nimenunua kirikuu cha kugangia njaa mjini hapa. Lengo langu nataka kinitumikie japo miaka 2. Nawaomba ushauri, nikibebeshe maximum kilo ngapi? au gunia ngapi za mahindi? Asanteni
Kennedy JF-Expert Member Joined Dec 28, 2011 Posts 54,894 Reaction score 64,043 Oct 29, 2020 #2 Mkuu Hongera Sana Kwa Kupata Gari Ila Hiyo Gari Ni Moja Ambazo Hazina Bahati Traffic Wakiiona Tu, Shida, Pakia Nusu Tani Inatosha Tu
Mkuu Hongera Sana Kwa Kupata Gari Ila Hiyo Gari Ni Moja Ambazo Hazina Bahati Traffic Wakiiona Tu, Shida, Pakia Nusu Tani Inatosha Tu
chakii JF-Expert Member Joined Sep 15, 2013 Posts 20,834 Reaction score 26,217 Oct 29, 2020 #3 Anithape said: Nimenunua kirikuu cha kugangia njaa mjini hapa. Lengo langu nataka kinitumikie japo miaka 2. Nawaomba ushauri, nikibebeshe maximum kilo ngapi? au gunia ngapi za mahindi? Asanteni Click to expand... kg 350 sawa na mifuko saba ya cement.
Anithape said: Nimenunua kirikuu cha kugangia njaa mjini hapa. Lengo langu nataka kinitumikie japo miaka 2. Nawaomba ushauri, nikibebeshe maximum kilo ngapi? au gunia ngapi za mahindi? Asanteni Click to expand... kg 350 sawa na mifuko saba ya cement.
Anithape Senior Member Joined Nov 14, 2018 Posts 131 Reaction score 136 Oct 29, 2020 Thread starter #4 chakii said: kg 350 sawa na mifuko saba ya cement. Click to expand... Nikibeba nusu tani, mifuko 10? kirikuu kitakufa?
chakii said: kg 350 sawa na mifuko saba ya cement. Click to expand... Nikibeba nusu tani, mifuko 10? kirikuu kitakufa?
chakii JF-Expert Member Joined Sep 15, 2013 Posts 20,834 Reaction score 26,217 Oct 29, 2020 #5 Anithape said: Nikibeba nusu tani, mifuko 10? kirikuu kitakufa? Click to expand... utakuwa unalazimisha na ndio hapo gari inaanza kuchoka mapema
Anithape said: Nikibeba nusu tani, mifuko 10? kirikuu kitakufa? Click to expand... utakuwa unalazimisha na ndio hapo gari inaanza kuchoka mapema