Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nasikia wanaume wenye vitambi hawawezi kazi sijuhi kama ni kweli. Najitahidi kumpa mzee balanced diet asije pata kitambia akashindwa kazi!
Angalia huyo mzee hasije akakufia kifuani
"unamjua" not unamfahamu so u sex with him its ok. ......ibrahim "akamjua" sara akampata.....
Jibu lako zuri kuna vijana wa kizazi hichi cha chips/kuku wa ARV vinazopikwa na mafuta ya transforma wanashindwa kupafomu na hata wakiweza ni kimoja tu na kuna wazee wa 50-65 ambao wanachapa viboko mpaka mwanamke anaomba maji ya baridi.Kwahiyo chakula na mazoezi ni muhimu.Body exercise and meal balance ni vitu muhimu, kuna mdingi anaishi jirani na hapa nilipo ana kama nyundo 60 hv, lkn kuna bar maid mmoja alijirengesha katupa mchapo kwamba yule mzee acha, alimfunga kama goli 5 hv na gemu akataka kuendelea. Binti wa watu akasema baaasi. Huyu mzee kaka kila asubuhi ni jogging tu, nina mwaka wa nne hapa kitaa, sijawahi kumuona akiacha kufanya mazoezi, kaka tuzingatie mazoezi na msosi hasa wanga na mbogamboga,
he he he namjua mzee miaka 92 lakini cheki damu inavyochemka..mmhhhh