Uwezo wa Yanga CAFCL ni mdogo sana inabidi wajipange vyema

Na wanaimba midomoni mwao kuwa ni kocha mwenye profile kubwa, profile yenyewe ni ipi ni kuchukua kombe hilo hilo wanaolibeza. Ukisikia usemi wa sizitaki mbichi hizi ndio hawa makolofive vijana wa

Kocha wa hilo kombe la looser mkamwona anawafaa huko msimbazi....ndondocha fc mna ghubu sana.
Au sio kocha wako wew amechukua copa america🤪
 
Wydad ni bingwa mtetezi wa kombe gani? Ukute ww ndio mbumbumbu og.
 
Sasa kama unajua kuwa CAFCC ni kimataifa kwanini umesema Yanga haikuwahi kushinda kimataifa wakati kwenye CAFCC Yanga walikuwa mshindi wa pili?
Usimalize energy kwa huyu mtu. Ukisoma hiyo comment yake, hata hajui tofauti ya CAFCL na CAFCC.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…