Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wanaimba midomoni mwao kuwa ni kocha mwenye profile kubwa, profile yenyewe ni ipi ni kuchukua kombe hilo hilo wanaolibeza. Ukisikia usemi wa sizitaki mbichi hizi ndio hawa makolofive vijana wa
Au sio kocha wako wew amechukua copa america🤪Kocha wa hilo kombe la looser mkamwona anawafaa huko msimbazi....ndondocha fc mna ghubu sana.
Ulishaona lini Yanga wanajipiga kifua wakisema wameleta kocha mwenye profile kubwa? Midomoni mwenu mnajifanya mashindano ya loser kumbe mafanikio yake mnayatamani. Mkabeba kocha wa loser cup.Au sio kocha wako wew amechukua copa america🤪
Wydad ni bingwa mtetezi wa kombe gani? Ukute ww ndio mbumbumbu og.Na katika hili, wanastahili pongezi. Maana Yanga amecheza mechi 2, ana pointi 1 na wadogo zake simba wamecheza mechi 2, wana pointi 2!
Cha kushangaza mashabiki wengi wa simba wanaiona Yanga kama vibonde wa kundi! Na wakati zimebakia mechi 4! Na mbaya zaidi tofauti kati ya simba na Yanga ni pointi 1 tu!! Kimsingi wote hali yao siyo nzuri mpaka sasa.
Imagine mechi ijayo simba inakutana ugenini na Bingwa mtetezi Wydad, iliyopoteza mechi 2 mfululizo!! Kwa akili zao za kimbumbumbu wanafikiri huo mchezo utakuwa ni mwepesi tu kwao.
Time will tell. Na zile kelele zao za kumkataa Mangungu zitaanza muda si mrefu.
makolo kimataifa wameshinda mechi gani???Hii timu ipo vizuri sana kwa ligi ya NBC, wana makelele na tambo nyingi sana kitaifa, ila wakiingia kimataifa wanakuwa mdebwedo.
.....mbumbumbu fc Benchika amechukua kombe la loosers na bado mkamkimbilia awaokoe.Au sio kocha wako wew amechukua copa america🤪
Yanga ndio timu pekee ambayo ina kazi ya kufurahisha mashabiki wake na mashabiki wa 5imba
Sasa kama unajua kuwa CAFCC ni kimataifa kwanini umesema Yanga haikuwahi kushinda kimataifa wakati kwenye CAFCC Yanga walikuwa mshindi wa pili?
Mnatamani ufike paleee ila bado ipo mkiani[emoji23][emoji23]
Endelea kupiga makelele ya 5G ila hayatawahamisha mkiani kwa sababu CAFCL sio level yenu.
Kombe laja Msimbazi bwashee We Subiría utalionaHaya yenu
Leteni kombe[emoji23][emoji23]
Nyie wenye level yenu, kwanzia msimu uanze hadi sasa hakuna hata mechi moja uliyoshinda.Mnatamani ufike paleee ila bado ipo mkiani😂😂
Endelea kupiga makelele ya 5G ila hayatawahamisha mkiani kwa sababu CAFCL sio level yenu.
Simba ana points ngapi?Hii timu ipo vizuri sana kwa ligi ya NBC, wana makelele na tambo nyingi sana kitaifa, ila wakiingia kimataifa wanakuwa mdebwedo.
2
Tuna point 2 na hatupo mkiani.Nyie wenye level yenu, kwanzia msimu uanze hadi sasa hakuna hata mechi moja uliyoshinda.
Hiyo nafasi uliyopo inakufanya ufuzu hatua ya robo fainali?Tuna point 2 na hatupo mkiani.
Wamesoma Chuo Gani?? bongo kuna Chuo cha Uchambuzi wa Mpira ..Yani mtu njaa ikimshika Tayari mchambuzi.... Alafu mimi siwezi waangalia au kusikiliza uchambuzi yani ni kupoteza muda wananiambia kitu amabacho tayari nakijuaTuwaheshimu wachambuzi mkuu.
Usimalize energy kwa huyu mtu. Ukisoma hiyo comment yake, hata hajui tofauti ya CAFCL na CAFCC.Sasa kama unajua kuwa CAFCC ni kimataifa kwanini umesema Yanga haikuwahi kushinda kimataifa wakati kwenye CAFCC Yanga walikuwa mshindi wa pili?
Kombe laja Msimbazi bwashee We Subiría utaliona
Nye mmeshinda ipi na point yenu moja mkiburuza mkiaNyie wenye level yenu, kwanzia msimu uanze hadi sasa hakuna hata mechi moja uliyoshinda.