Uwezo wa Zembwela

Kwenye Elimu usifikehuko ushauri
 
Angebaki na kipindi chake cha uswazi tu maana akimudu sana.
 
at least nimetoa dukuduku langu!make anaimpact kubwa kwenye jamii anayoongea lazima yawe na mashiko,si hami sitesheni.
 
Halafu hawezi kutamka vizuri maneno, sijui mate huwa yanamjaa mdomoni!
 
Jamaa ana kipaji cha kuongea licha ya elimu yake ndogo, ila pia ni bange mtu...kwake ni bora akose msosi lakini sio jani!
 
kitabu kisipoeleweka muandishi huenda akawa na mapungufu especially CONTENT&style ya kudeliver message
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…