Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
Habari zote Leo ni Simba day na namna Robertinho alivyo na wasiwasi na uwezo wa Mosses Phiri.
Hotuba ya Mhe.Rais jana ilikuwa nzuri sana na imejenga msingi mzuri kwa timu zetu zinazokwenda kupambana kimataifa, Mhe.Rais ameongea mambo mengi ikiwemo serikali kuendelea kuunga mkono timu zetu ili zing'are kimataifa, aliipongeza yanga na akaahidi serikali yake itajenga complex nyingine zenye unyama mwingi kule Dodoma na Arusha.
Mo Dewji naye akapeleka salamu kwa kiongozi wa nchi, akamwambia mhe Rais msimu ujao atapambana kuhakikisha Simba inapeleka ndoo pale Ikulu.
Hotuba ya Rais na salamu za mwekezaji hazijapewa kipaumbele kabisa Leo, waaandishi makanjanja wanasubiri jamiiforums ianzishe mada wao wadakie.Sasa nawaambia hotuba ya Rais na Mo Dewji ni mambo ya msingi sana watanzania wakayajua, kujadili tamasha sijui Robertinho kutomchezesha Phiri ni uwezo mdogo wa kufikiri.
Am a think tank, cpend kuwachosha ngoja nichokoze mada.
Hotuba ya Mhe.Rais jana ilikuwa nzuri sana na imejenga msingi mzuri kwa timu zetu zinazokwenda kupambana kimataifa, Mhe.Rais ameongea mambo mengi ikiwemo serikali kuendelea kuunga mkono timu zetu ili zing'are kimataifa, aliipongeza yanga na akaahidi serikali yake itajenga complex nyingine zenye unyama mwingi kule Dodoma na Arusha.
Mo Dewji naye akapeleka salamu kwa kiongozi wa nchi, akamwambia mhe Rais msimu ujao atapambana kuhakikisha Simba inapeleka ndoo pale Ikulu.
Hotuba ya Rais na salamu za mwekezaji hazijapewa kipaumbele kabisa Leo, waaandishi makanjanja wanasubiri jamiiforums ianzishe mada wao wadakie.Sasa nawaambia hotuba ya Rais na Mo Dewji ni mambo ya msingi sana watanzania wakayajua, kujadili tamasha sijui Robertinho kutomchezesha Phiri ni uwezo mdogo wa kufikiri.
Am a think tank, cpend kuwachosha ngoja nichokoze mada.