Ukienda gym watakuambia au google uone. Mimi najua ya kupunguza uzito
duh! sasa nifanye nini kuongeza weight?
Ni hivi nina umri wa miaka 23 lakini uzito wangu ni kilogram 86 uwiano wake ni mkubwa kupita na naogopa usije kuniletea madhara
Na nilikuwa nakuombeni mnitajie vyakula vya kuacha ili nipungue mwili mana mazoezi nashindwa kwa sababu nipo bize sana
Msaada wenu jamani unatakiwa
asanteKula vyakula vya wanga zaidi kama mkate, chapati, ugali wa dona etc. Pata muda wa kutosha wa kulala na mchana pia lala japo lisaa limoja au mawili, usikae muda mrefu bila kula kitu. Usiende Gym