Ngongo
Platinum Member
- Sep 20, 2008
- 20,654
- 35,887
Leo tarehe 31 / 12 / 2012 Rais wa JMT Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete katangaza matokeo ya idadi ya watu Tanzania.Tanzania ina jumla ya watu 44,929,002,Tanzania bara watu 43,625,434 na Zanzibar watu 1,303,568.
Bunge la JMT lina jumla ya wabunge 323 kati yao wabunge 232 ni wakuchaguliwa na wananchi moja kwa moja,wengine 10 wanateuliwa na Rais wa JMT, 75 ni viti maalum [wanawake],wabunge 5 wanachaguliwa na BLW Zanzibar.
Zanzibar ina jumla ya majimbo 50 ya uchaguzi,Tanganyika majimbo 182 ya uchaguzi.Sasa ukiangalia idadi ya watu baina ya Tanganyika na Zanzibar na idadi ya uwakilishi bungeni hauko sawa kabisa sijui ni vigezo vipi vilitumika kuwapatia nafasi waZanzibar uwakilishi mkubwa kupita kiasi !.Kama hiyo haitoshi wako baadhi ya wanasiasa mbumbumbu wanataka kiwepo kipengele kitakacho wahakikishia waZanzibar wawe na zamu ya kutoa Rais wa JMT.Yaani watu 1,303,568 wanataka kujenga uhalali wa kutwalawa watu 43,625,435 !.
Naomba tujadili baada ya miaka 50 ya kujitawala bado zipo sababu za huu muungano wa kulazimisha unaonufaisha upande mmoja ?.
Nakala: Nguruvi3 Ritz JokaKuu Mkandara chama Zitto Ben Saanane Crashwise Mwita Maranya AshaDii Raia Fulani Mzee Mwanakijiji Ab-Titchaz Rutashubanyuma Matola sweke34 Mag3 Mzee wa Rula Mimibaba Ogah Kibunango Jasusi Nyani Ngabu Pasco FJM Barubaru Kobello mohamed Shossi ....
Bunge la JMT lina jumla ya wabunge 323 kati yao wabunge 232 ni wakuchaguliwa na wananchi moja kwa moja,wengine 10 wanateuliwa na Rais wa JMT, 75 ni viti maalum [wanawake],wabunge 5 wanachaguliwa na BLW Zanzibar.
Zanzibar ina jumla ya majimbo 50 ya uchaguzi,Tanganyika majimbo 182 ya uchaguzi.Sasa ukiangalia idadi ya watu baina ya Tanganyika na Zanzibar na idadi ya uwakilishi bungeni hauko sawa kabisa sijui ni vigezo vipi vilitumika kuwapatia nafasi waZanzibar uwakilishi mkubwa kupita kiasi !.Kama hiyo haitoshi wako baadhi ya wanasiasa mbumbumbu wanataka kiwepo kipengele kitakacho wahakikishia waZanzibar wawe na zamu ya kutoa Rais wa JMT.Yaani watu 1,303,568 wanataka kujenga uhalali wa kutwalawa watu 43,625,435 !.
Naomba tujadili baada ya miaka 50 ya kujitawala bado zipo sababu za huu muungano wa kulazimisha unaonufaisha upande mmoja ?.
Nakala: Nguruvi3 Ritz JokaKuu Mkandara chama Zitto Ben Saanane Crashwise Mwita Maranya AshaDii Raia Fulani Mzee Mwanakijiji Ab-Titchaz Rutashubanyuma Matola sweke34 Mag3 Mzee wa Rula Mimibaba Ogah Kibunango Jasusi Nyani Ngabu Pasco FJM Barubaru Kobello mohamed Shossi ....
Last edited by a moderator: