Uwiiiiii Nimekosa Chuo Jamaniii..!!!!

Uwiiiiii Nimekosa Chuo Jamaniii..!!!!

Raby Kilua

Senior Member
Joined
Jul 12, 2013
Posts
128
Reaction score
23
Jaman ndugu zangu.
Baada ya leo kupata habar za tcu kutoa majna ya watu waliokosea nimechek tcu profile yangu iko empty!!
yaan namaanisha empty kwenye selection program zangu..
kuna walioniamia nianze upya application ila nijaze chuo kimoja na fucult moja tuu..
Ila wengi wa tuliopata tatizo hili ni tulioomba coz za Sayans but out of education.. nifanyaje wakuu hapa nimeloa jasho wazaz nao Nimewastua sana kwa hii habar mpaka najuta kuwaeleza..
anayeelewa anipe maelekezo yakuondoa hili tatizo..
In short Sina Imani tena kama nitaenda chuo!!!!!
 
ulipataje?...je cut off zao ktk course husika zilifika?
 
Jaman ndugu zangu.
Baada ya leo kupata habar za tcu kutoa majna ya watu waliokosea nimechek tcu profile yangu iko empty!!
yaan namaanisha empty kwenye selection program zangu..
kuna walioniamia nianze upya application ila nijaze chuo kimoja na fucult moja tuu..
Ila wengi wa tuliopata tatizo hili ni tulioomba coz za Sayans but out of education.. nifanyaje wakuu hapa nimeloa jasho wazaz nao Nimewastua sana kwa hii habar mpaka najuta kuwaeleza..
anayeelewa anipe maelekezo yakuondoa hili tatizo..
In short Sina Imani tena kama nitaenda chuo!!!!!

Pole sana bwana Raby ngoja niperuz vitu flan hapa nitarud kukupa kitu kamili... Tatizo lako linatibika ondoa hofu
 
Last edited by a moderator:
Mazee kiufupi ni kwamba hata kama points zako zinafit na kila kozi umewekewa Yes jina lako laweza kuwemo kwenye list.Mfano,rafiki yangu yuko jkt,nimefungua selection status yake wamesema Sorry you have not applied wakati mwanzoni alikuwa eligible kwa kozi zote.Hivyo basi nawashauri ndugu zangu mtembelee profiles zenu mfungue kwenye View my selection status.
 
ulipataje?...je cut off zao ktk course husika zilifika?

Nina 3 ya 13 mkuu.. na coz nilizoomba vigezo ninavyo sema tu labda sababu zinahitaj watu wachache.. mf md nyingi maxmam wanaotakiwa ni 75 kwa chuo husika
 
Mazee kiufupi ni kwamba hata
kama points zako zinafit na kila kozi umewekewa Yes jina lako laweza
kuwemo kwenye list.Mfano,rafiki yangu yuko jkt,nimefungua selection
status yake wamesema Sorry you have not applied wakati mwanzoni alikuwa
eligible kwa kozi zote.Hivyo basi nawashauri ndugu zangu mtembelee
profiles zenu mfungue kwenye View my selection status.

Haswaaa mkuu.. mim iko hivyo
 
Mona toka juzi TCU wametoa option ya second selection na wanasema "come first served first. Wahi urudie tena.
 
a happy man marries a woman he loves... but the happiest man is the one who loves the woman he marries
 
nimeview selection status NOT YET PROCESSED, kama not yet processed wametoaje majina!? Au profile yangu imesahauliwa?
 
nimeview selection status NOT YET PROCESSED, kama not yet processed wametoaje majina!? Au profile yangu imesahauliwa?

kama hvyo umepata! So tuliaa kama ulivyoo! Subir uonyeshwe umepangiwa wap kat ya zile tano ulizochagua! Mkuu tupo pamoja!
 
hiv jaman na hiyo second round m2 akakosa chuo ndo hapati tena au kuna third round???
 
Nashukuru kwa msaada wenu Wakuu. Ila bado sina iman maana nimepewa nijaze chuo kimoja na fucult moja zikigoma tena ndio kwaherii University ila kale ka message kao ka YOU ARE NOT YET DONE APPLICATION wamekaondoa..
Sina iman na tcu tenaaa
 
Back
Top Bottom