Uwongo mwingine haufai......

Hacktivist

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2017
Posts
249
Reaction score
86
Kuna mama alikua katoka kupakua chakula ili ale..ghafla akasikia mtu anabisha hodi
basi harakaharaka akaficha chakula chini ya kochi akaenda kufungua mlango..

mama:"Karibu shoga yangu"..
mgeni alipokaa akaanza kuona moshi unatoka chini ya kochi...akabidi aulize
mgeni:"Shoga kulikoni mbona chini ya kochi kunatoka moshi?".
mama:"Mwenzangu we acha tu hii mipanya ya humu ndani kwa kuvuta bangi utaiweza

mgeni kazimia kwa mshangao.........

copy and pasted.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…