Hacktivist
JF-Expert Member
- Jul 15, 2017
- 249
- 86
Kuna mama alikua katoka kupakua chakula ili ale..ghafla akasikia mtu anabisha hodi
basi harakaharaka akaficha chakula chini ya kochi akaenda kufungua mlango..
mama:"Karibu shoga yangu"..
mgeni alipokaa akaanza kuona moshi unatoka chini ya kochi...akabidi aulize
mgeni:"Shoga kulikoni mbona chini ya kochi kunatoka moshi?".
mama:"Mwenzangu we acha tu hii mipanya ya humu ndani kwa kuvuta bangi utaiweza
mgeni kazimia kwa mshangao.........
copy and pasted.
basi harakaharaka akaficha chakula chini ya kochi akaenda kufungua mlango..
mama:"Karibu shoga yangu"..
mgeni alipokaa akaanza kuona moshi unatoka chini ya kochi...akabidi aulize
mgeni:"Shoga kulikoni mbona chini ya kochi kunatoka moshi?".
mama:"Mwenzangu we acha tu hii mipanya ya humu ndani kwa kuvuta bangi utaiweza
mgeni kazimia kwa mshangao.........
copy and pasted.