Uwongo zambi, kusema la ukweli hii kitu mimi naipendaga sana.

Nina mashaka na lugha yako hapo..isijekuwa umemaanisha vise versa..maana unaposema hii kitu duh anyway ngj waje wataalam wa kiswahili wadadavue
 
Mimi pia napenda sana hiyo kitu, hata leo asubui ndio nimekula break fast yangu, kila siku lazima nile vitumbua.

Napenda vitumbua vya aina yote, live vitumbua na hivyo vya kukaanga kwa kua vyote ni vitamu sana.
 
Mimi pia napenda sana hiyo kitu, hata leo asubui ndio nimekula break fast yangu, kila siku lazima nile vitumbua.

Napenda vitumbua vya aina yote, live vitumbua na hivyo vya kukaanga kwa kua vyote ni vitamu sana.

Kula kitumbua Usiku anga likiwa limepoa ndege wamelala, hali ya hewa tulivu. Kula mara tatu tu ukizidisha ni karaha.
 
Duh mkuu kwa sisi wafasir tushakuelewa unamaanisha nini haina haja ya kumwaga kuku kwenye mtama wengi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…