gladysfredrick
Member
- Feb 28, 2016
- 5
- 4
Hahahaaaaaaaaaaa me mwenyew navipnda blaaaaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona zipo hizo kalimati. Mtaani kwetu wanauza moja miaUmenikumbusha kalimati, hivi mbona siku hizi hazionekani au zilipigwa marufuku?
MkuuOyooooo wapika vitumbua wengi wanaoshaga papuchi
Na maji hayohayo wanakandia unga wa vitumbua
Havikandwi?! Hebu nipe neno sahihi ya katengeza huo uji wa hivyo vitafunwaMkuu
1. Vitumbua havikandwi
2. Mimi ninapika vitumbua lakini sifanyi hayo unayosema yanafanyika.
Unachanganya unga, kukanda ni unga wa ngano wa chapati, maandazi nk.Havikandwi?! Hebu nipe neno sahihi ya katengeza huo uji wa hivyo vitafunwa
Mbuta hivi vyakula vya uswahilini mmeshavizoea?Mbula mkuu huyo upate na maharage yalopashwa kidogo alafu pembeni kuna chai ya ziwa lilokulea!! Mbulaa!!!wacha kabisa asee