Uwoya afunguka sababu ya kunyimwa ubunge na CCM

Hata mie nimeliona na kuliongelea kwenye uzi mmoja Wema atatimiza malengo yake CDM. Mnyukano uliopo CCM wa akina mama wenye majina makubwa na hili la kura linaathiri hawa wanaochipukia kupata nafasi.
Punguza speed mkuu
 
Hawa wasanii wanaijua vizuri siasa au wanafikiria ndio sehemu rahisi ya kutoka?
 
Mbunge mtarajiwa hajui kuwa kura zinazodetermine idadi ya wabunge viti maalum ni za ubunge,sio za uraisi. Ndio maana CUF hawakuwa na mgombea urais ila wabunge viti maalum wanao kwa vile kuna majimbo CUF waliweka wagombea kwa ticket ya UKAWA
 
yani huyu malaya nae awe mbunge?
ataongea nin bungeni sasa?
 
Bongo movie wengi wao ni wazee wa fursa,naona JPM amewabania awamu hii plus na season za kihindi za jerojero kuuzwa kama njugu basi bongo movie ndo dili hakuna tena,bora hata kipindi cha mkwere walikuwa wakiuza nyago kwenye kioo wakija uraiani wanakumbana na vigogo wanawalipia walau kodi za nyumba
 
Anadai bado ana ndoto za kuwa mbunge na kilichomkwamisha ni Magufuli kupata asilimia chache za kura za urais ndio maana akashindwa, Magufuli angepata kura nyingi basi naye angekuwa mbunge wa viti maalum




!
!
labda kupitia jimbo la wasanii mayala
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…