Uwoya Asema yupo SERIOUS kuhusu mipango ya ndoa na Jaguar

Wapi warumi ? Nilikudokeza kuhusu hii relationship mwaka jana.. Sasa hivi ndo mambo yanapamba moto..

But Uwoya, damn too used.

brand *new* unampata wapi siku hizi ndugu??
 
Last edited by a moderator:
lita 20 kupima malaria?? wakati huo mwili unakuwa na lita ngapi, dertamine ndio kipimo kinachoaminika zaidi kushinda capilus

Hapana ELISA ndio ina high sensitivity and specifity .. determine Is nothing ... nlikuwa na mgonjwa determine negative ELISA ikasoma mzigo. .
 
Hapana ELISA ndio ina high sensitivity and specifity .. determine Is nothing ... nlikuwa na mgonjwa determine negative ELISA ikasoma mzigo. .

I know ELISA its final ila kuna iana ya virus ndio vinaletaga hilo zengwe, na ukichunguza utagundua ni ile type two ambayo hapa kwetu haipo sana, ni rare case hulazimika kwenda kwenye ELISA panapotokea mkanganyiko.
 
huyu muuwaji mkubwa , nadhani ana moto wa tanesco
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…