UWT kumsaidia kukata Rufaa Maria aliyehukumiwa miaka 22 jela kwa kukutwa na nyama ya swala

Iv hakimu alotoa hukumu anajisikiaje moyoni mwake
 
Ifike wakati sasa tufaidike na hawa wanyama pori kama kitoweo na sio adhabu kwa wao kuwepo!
Kuwe na mpango maalumu wa mabucha haya!
 
Hukumu kali mno hii, wamsaidie ashinde rufaa yake.
 
Ifike wakati sasa tufaidike na hawa wanyama pori kama kitoweo na sio adhabu kwa wao kuwepo!
Kuwe na mpango maalumu wa mabucha haya!
Naunga mkono hoja, wakati wa JPM yalianzishwa mengi Ila bado yanasuasua.
 
 

Attachments

  • 2494E6A0-6D6C-4101-AAEF-3C6431860183.jpeg
    110.3 KB · Views: 2
Wanatafuta kik

Uwt....baada ya kuona kelele za watu

Chichiem kupitia uwt wamejishtukia

Ova
Bawacha Wapo wapi?
Bavicha je?
Wanasheria ni wengi sana nchi hii mpka paralegals zipo nk ila wako wapi?

Acha UWT wafanye kwa upande wao

Nenda sabasaba dodoma jirani na jengo la SHUMAHOFA kuna ghorofa ina oteshwa Kwa udhamini wa kampuni moja hivi kama sijakosea, wana jenga jengo la kitega uchumi. Chadema sijui Cuf endeleeni kupiga kelele huku chama kikiendelea kupiga harambee na kulalamika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…