UWT Taifa mpo?

UWT Taifa mpo?

Paf

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2021
Posts
1,703
Reaction score
3,307
Hamsini kwa Hamsini mnachangia kuidhofisha kama hamuwezi hata jitokeza mkawa wakali kuhusu usukani mlionao.

Hii ni turufu yenu ambayo Mungu aliwapa tangu March 2021.Hakuwambia sasa mshindwe ninyi Bali alisema naamuru na iwe hivi Hamsini kwa Hamsini.

Muna nafasi kubwa yakuandika historia kuwazidi ME kama mtasema hili hapana halileti sura nzuri huku nje.Mnawajibu wakukaa faragha na Mkuu wa nchi nje ya vikao vyenu vya kichama.
Upendo wenu kwake ndio mafanikio yenu.Hii kauli inaukweli wowote
"HUWA HAMPENDANI"
 
Waachwe kuwaza mambo mengine wawawe vyeo tu?
 
Usalama Wa Taifa?
Umoja Wa Wanawake Tanzania?
Au kitu gani??
 
Usalama Wa Taifa?
Umoja Wa Wanawake Tanzania?
Au kitu gani??
Hapo mwanzo kuna Hamsini/Hamsini,mmeelewa halafu mnaleta uchochezi kwa hesabu za vipenyo
 
Back
Top Bottom