UWT yatahadharisha umma matapeli wanaotumia jina la Jokate utoaji mikopo

UWT yatahadharisha umma matapeli wanaotumia jina la Jokate utoaji mikopo

JUMA JUMA

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2013
Posts
790
Reaction score
964
TAARIFA KWA UMMA

Ofisi ya Katibu Mkuu wa Umoja wa Wanawake UWT inapenda kuutahadharisha Umma juu ya Uwepo wa kundi la wahalifu mtandaoni wanaotumia Vibaya Jina la Katibu Mkuu Ndg. Jokate Urban Mwegelo na kulihusisha na Huduma utoaji wa Mikopo ya bei Nafuu..

Taarifa hizo sio za kweli na Ni za Kupuuzwa mara Moja. Tunatoa Onyo kali kwa yeyote atakayebainika na kujihusiha na uhalifu huu wa mtandao , Hatua Kali za Kisheria zitachukuliwa Dhidi yao .

Ewe Mwananchi, usikubali Kutapeliwa.

Imetolewa na

Kitengo Cha Habari na Mawasiliano - UWT

IMG-20240325-WA0105.jpg
IMG-20240325-WA0078.jpg
 
Inawezekana amepigwa biti akaona akatae taasisi yake. Kwanini wakanushe leo wakati nizaidi ya wiki sasa matangazo yamesambaa. Hata spika wa bunge nae anatoa au pia anasingiziwa?
 
Inawezekana amepigwa biti akaona akatae taasisi yake. Kwanini wakanushe leo wakati nizaidi ya wiki sasa matangazo yamesambaa. Hata spika wa bunge nae anatoa au pia anasingiziwa?
jihadhari na kua makini sana na matapeli 🐒
 
Msemaji mkuu waserikali anasemaje?
Ni UTANI au??
 
Back
Top Bottom