Atakuwa anahusikaSasa huyo mama Totoo si afungue taasisi ya mikopo yake kusaidia wananchi, ashafunguliwa njia nae ajiongezee.
Hao ni matapeli feki ...ccm kuna matapeli original pata kitu cha utapeli original usikubali kutapeliwa na matapeli feki wakati matapeli original wapotele ccmWatu wanatumia jina la CCM sababu CCM imejaa matapeli tupu
Ndiyo yamejaa huko CCMHao ni matapeli feki ...ccm kuna matapeli original pata kitu cha utapeli original usikubali kutapeliwa na matapeli feki wakati matapeli original wapotele ccm
jihadhari na kua makini sana na matapeli 🐒Inawezekana amepigwa biti akaona akatae taasisi yake. Kwanini wakanushe leo wakati nizaidi ya wiki sasa matangazo yamesambaa. Hata spika wa bunge nae anatoa au pia anasingiziwa?
Hujaona waliosema wanashindwa kutofautisha matapeli na hao wanaokanusha? Je vipi ile ya Mo nayo niutapeli aujihadhari na kua makini sana na matapeli 🐒
nasisitiza kujihadhari na matapeli, mo alikanusha kitambo sanaHujaona waliosema wanashindwa kutofautisha matapeli na hao wanaokanusha? Je vipi ile ya Mo nayo niutapeli au
Amekanusha wapi wakati hata sasa anasisitiza vijana wakope wajitoe kwenye ugumu wa maisha? Pitia kurasa za instagramnasisitiza kujihadhari na matapeli, mo alikanusha kitambo sana
kupitia x alikanusha mapema sana tangu last yrAmekanusha wapi wakati hata sasa anasisitiza vijana wakope wajitoe kwenye ugumu wa maisha? Pitia kurasa za instagram
Ccm haitaki matapeli feki inataka matapeli OG wa chama na serikaliNdiyo yamejaa huko CCM
Hatari snCcm haitaki matapeli feki inataka matapeli OG wa chama na serikali