Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekuwa wa kwanza kutoa like, naamini kuwa usimba na uyanga ndiyo kifo cha soka TzPasi ya kumung'unya maneno Uyanga na Usimba unai-gharimu nchi yetu kwenye tasnia ya mpira.
Wapiga penati 3 wa timu ya IHEFU bila kupepesa macho wameonyesha unprofessional behaviour kwa aliye angalia mikwaju ya penalty ,wachezaji 3 waliokosa penalty kwa upande wa IHEFU wameonyesha kabisa wamefanya makusudi kukosa penalty
Walipiga penalty laini tena kwa kuonyesha kabisa ,pasi na shake Uyanga na Usimba ndio chanzo cha haya
Aliyeenda kupiga penalty ya mwisho ya ushindi kwa upande wa IHEFU kasikitisha Uyanga na Usimba kauonyesha pasi na shaka penalty ulojo anapiga ,penalty ile iliyowapa ushindi Yanga mpigaji anaonyesha kabisa ana mapenzi na yanga penati kama ya mtoto wa miaka 6 .
Tubadilikeni jamani tuwe professional zaidi tukiwa kazini
Wasalaam
Tp mazembe ya manzese na Al ahl ya kwa mtogole itakuwa [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125]Usihusishe Simba na mambo ya kijinga,ile ni next level za TP Mazembe,Al Ahl, Esperance nk
Kwa nini usiseme wameonesha Usimba...!?Pasi ya kumung'unya maneno Uyanga na Usimba unai-gharimu nchi yetu kwenye tasnia ya mpira.
Wapiga penati 3 wa timu ya IHEFU bila kupepesa macho wameonyesha unprofessional behaviour kwa aliye angalia mikwaju ya penalty ,wachezaji 3 waliokosa penalty kwa upande wa IHEFU wameonyesha kabisa wamefanya makusudi kukosa penalty
Walipiga penalty laini tena kwa kuonyesha kabisa ,pasi na shake Uyanga na Usimba ndio chanzo cha haya
Aliyeenda kupiga penalty ya mwisho ya ushindi kwa upande wa IHEFU kasikitisha Uyanga na Usimba kauonyesha pasi na shaka penalty ulojo anapiga ,penalty ile iliyowapa ushindi Yanga mpigaji anaonyesha kabisa ana mapenzi na yanga penati kama ya mtoto wa miaka 6 .
Tubadilikeni jamani tuwe professional zaidi tukiwa kazini
Wasalaam