nzalendo
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 12,106
- 12,916
Bila kuwasahau Tabora girls...wakati wa joint mass.....mikusanyiko ya pamoja Disco la mchana ile saa nane nane kijua.....wapi chuo cha uhazili na Mirambo secondary...ya Kale dhahabu....good sweet memories....Tabora raha saanaaa.
Pia ni mkoa uliokuwa na mabinti wazuri.
Pia ni mkoa uliokuwa na mabinti wazuri.