Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
... alieyesema Tanzania hakuna Corona ni nani?Duh vigeu geu mara corona haijawahi kuisha from no where wanaibuka kupanga kongamano kisha wanahairisha. Siasa hizi!
mbaazi akikosa maua husingizia juaDuh vigeu geu mara corona haijawahi kuisha from no where wanaibuka kupanga kongamano kisha wanahairisha. Siasa hizi!
... alieyesema Tanzania hakuna Corona ni nani?
Itapoteza maana halisi ya kilichopangwa , watu elfu 3 kuwaweka mtandaoni kwa ajili ya kongamano si jambo rahisiKwani haiwezekani kufanya kwa njia ya mtandao?
... hatua nzuri; wanawake wa Chadema are among the most brilliant women in the world! The most talented women in Tanzania are in Chadema.
Uongo Tanzania nzima hakuna ukumbi wa kutosha watu elfu tatu! sema tu ukata unawasumbua.Itapoteza maana halisi ya kilichopangwa , watu elfu 3 kuwaweka mtandaoni kwa ajili ya kongamano si jambo rahisi
Hujulikani kama unalia au unalalamika !uongo Tanzania nzima hakuna ukumbi wa kutosha watu elfu tatu! sema tu ukata unawasumbua...
Basi ombeni msaada wa fedha hapo kwa Asas ili muendelee na hilo kongamano lenu.Itapoteza maana halisi ya kilichopangwa , watu elfu 3 kuwaweka mtandaoni kwa ajili ya kongamano si jambo rahisi
Uongo utakusaidia nini ?Basi ombeni msaada wa fedha hapo kwa Asas ili muendelee na hilo kongamano lenu.
Vikao kama hivyo Halima Mdee alikuwa anavigharamia kwa fedha yake ya mfukoni ila sasa hapo Ufipa mmebaki makapuku watupu!
Una visa, mbona lile bunge lenu la kijani hamfanyi kwa mtandao?Kwani haiwezekani kufanya kwa njia ya mtandao?
Maisha ya watu ni muhimu sn... hatua nzuri; wanawake wa Chadema are among the most brilliant women in the world! The most talented women in Tanzania are in Chadema.
Nani kakudanganya ?Hawana hela