Uzalendo kwanza ila naona giza nene kwa Simba dhidi ya Gor

Kiukweli mimi ni shabiki wa simba kindakindaki ila game ya leo ni ngumu sana kwa upande wetu, gor mahia wapo vizuri sana kipindi hiki, washambuliaji wao ni very aggressive, hivyo leo nafasi kubwa ya ushindi naipa gor mahia.
Mi namsubiria manara
 
Hata wacheza vipi ,Leo wanafungwaaaaaa
 
Simba inahitaji kusajili washambuliaji wengine wenye nguvu wakuwasaidia Boko na Okwi wanapokuwa hawachezi.
 
Maneno yako yalitimia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…