Kinuju
JF-Expert Member
- Mar 20, 2021
- 2,386
- 5,325
Ili kukuza uzalendo na bidii ya kufanya kazi kwa watu wa Misri, mchezaji nguli wa soko Mo Sallah ameingizwa kwenye mtaala wa masomo ya nchi hiyo ili wanafunzi waweze kumsoma.
Sasa ni lazima kwa wanafunzi kumsoma Mo Sallah na maisha yake.
My take.
Hapa Tanzania ulianza mchakato wa kuanzisha mitaala ya masomo itakayokuza uzalendo na uelewa wa vijana na wanafunzi kwa nchi yao lakini alipofariki tu Magufuli ,mchakato huo ukafutwa!!!!
Sasa ni lazima kwa wanafunzi kumsoma Mo Sallah na maisha yake.
My take.
Hapa Tanzania ulianza mchakato wa kuanzisha mitaala ya masomo itakayokuza uzalendo na uelewa wa vijana na wanafunzi kwa nchi yao lakini alipofariki tu Magufuli ,mchakato huo ukafutwa!!!!