Uzalendo ndio huu, Dar-New York kwa B787-8 gharama ya mafuta ni TZS 267M

๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ Mnaomchafua mnatumia nguvu kiasi gani?
Tunaomchafua kina nani? kwanza sijawahi kumchafua nimekuwa nasema zuri na kama kuna baya nadhani nasema. Ukiwa kiongozi ni lazima ukubali kukosolewa na kusifiwa pia yote kubali. point yangu kutoka UN kunahitaji mapokezi?
 
Siku mkiacha kumkosoa tutakaa kimya,

Kwanini usiwaambie wanaomdhalilisha waache?
Mimi sijawahi kumkosoa Samia, nipo upande wake since day one na sitobadilika!! Wanaomdhalilisha hawatokosekana, hata afanye nini!! Watu walimtundika Yesu msalabani uchi wa mnyama sembuse yeye Samia kutukanwa? Kama hutaki matusi na kudhalilishwa then usiingie kwenye siasa za ushindani, waliomwambia Lowassa kajinyea leo ni washkaji zake wakubwa, ndiyo siasa hizo jombaa!! Kinachokera ni uchawa uliopitiliza...and sidhani kama Mama anapenda machawa!! Leo naona Diamond kaachia brand new Song ya kumsifia karudisha demokrasia na uhuru wa habari!! Kwani havikuwepo hivyo vitu?
 
Na kama kuna wanaona asingeenda kabisa kuokoa fedha ya umma tupigie hesabu kama kuna hasara gani maana tumeona marais kibao wakishiriki kwa mtandao. Huko kama kawaida ni domo tu.
 
Kaogopa kupanda la kunyumba ,lingeweza 'kuzima' angani na kupelekea kurest in Hell kama yule Hayati..tusimlaumu saa nyingine tuangalie tumetoka wapi?

Tulipigwa!
 
Unataka Machadema yamdhalilishe sisi tukae kimya kwa lipi kwa mfano?

Wewe ni chama gani Mjomba unayezuia mama kutetewa mtandaoni?

Unajua siasa kweli wewe au unadhani mfumo ni ule wa 2020?

Hapa ni bandika bandua mpaka 2025 mjomba watajua hawajui Samia ndio habari yote ,

Kama vipi log off kama unamsapoti halafu unapinga wanaomsapoti huna maana,

Mimi natumia bando langu, natumia muda wangu,Simu yangu,

Nani chawa hapa kwa hoja yako,

Wewe unataka Mama achafuliwe kura 2025 tunapataje acha wakereketwa tujibu mapigo kwa namba ?
 
Kakosea kuacha kwenda na ndege yetu. Ningekuwa mimi ningetinga na dege letu. Yaani linatua Swiss au Uk, then linaunga. Mambo ya kundandia wakati sisi si nchi masikini ni kujiendekeza. So kwangu hiyo siyo sifa.
Daaah,

Mzee siutauza nchi kabisa,
 
mkuu mm ninamashaka.sina utaalam kabisa na mambo ya hayo ysnayoluka juu.

hivi lina injini kubwa kiasigani hadi kula mafuta lita 5400 kwa saa 1?
 
UZALENDO NI VITENDO SIO MANENO,

HUYU MAMA NI KAMA NYERERE TU,

ANAJUA UCHUMI,

ANAJUA LUGHA,

ANAJUA DIPLOMASIA,

WALE MLIOKUWA MNAMPONGEZA YULE RAIS WA ZAMBIA NYIE SIO WAZALENDO KABISA,
yote ni kweli mzee
 
Kakosea kuacha kwenda na ndege yetu. Ningekuwa mimi ningetinga na dege letu. Yaani linatua Swiss au Uk, then linaunga. Mambo ya kundandia wakati sisi si nchi masikini ni kujiendekeza. So kwangu hiyo siyo sifa.
Ila vijana mawazo yenu hahaha
 
CCM NDIO CHAMA,

Asante mwandishi umemaliza utata,
Umewaonesha Watanzania Uzalendo wa mama Samia kwa namba,

Karibu nyumbani mama kesho nitakuwepo,
yote ni kweli mzee
Hapo sawa amewazima waliokuwa wanasema kaenda na Boeng ,heko Madam President
CCM NDIO CHAMA,

Asante mwandishi umemaliza utata,
Umewaonesha Watanzania Uzalendo wa mama Samia kwa namba,

Karibu nyumbani mama kesho nitakuwepo,
Nakubaliana,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ