mkwawa masawe
JF-Expert Member
- Nov 19, 2018
- 225
- 346
Ndiyo ukweli husika huo.
Kuna link hapo juu unaweza ukaangaliaKumbe mafuta ya ndege lita moja ni cheap kuliko petroli! Lita moja TZS 1,162/=!! Aisee
Dah....hebu acha ujinga....unajua chumba Cha watu mashuhuri pale Piere Guest house na kiasi gani kwa siku? 😂😂😂🤭Wanazengo mnafahamu ni kwanini Rais Samia aliamua kupanda ndege ya Emirates na kuacha ndege 11 mpya zimepaki?!
_________________________________
Kutoka Dar es salaam kwenda New York Marekani ni Jumla ya Km 12,050 sawa na jumla ya Km 24,100 two ways,ikiwa ni sawa na safari ya masaa 21 na dk 31 Mchana na Usiku nani sawa na masaa 43 kwenda na kurudi,
Boing 787-8 engine inatumia lita 5,400 za mafuta kwa lisaa limoja yaani ( 5,400L/h )
Fanya hivi, chukua lita 5,400 za mafuta zidisha kwa masaa 21.31 utapata jumla ya Lita 115,074 za mafuta ili kufika New York Marekani yaani ( one way)
Tunafahamu,bei ya Lita moja ya mafuta ya ndege (Jet fuel) hapa Tanzania kama trh 24|09|2021 ni $0.501/lita sawa na Tshs 1,162
Ilikupata gharama ya mafuta Dar es salaam to New York ,Chukua lita hizi 115,074 zidisha kwa bei ya lita moja ambayo ni Tsh 1,162 utapata jumla ya Tshs 133,653,240 kwa Safari moja tu ( One way)
Ilikupata gharama ya safari zote mbili yaani kwenda New York na kurudi,Zidisha gharama ya mafuta ya kwenda Tshs 133,653,240 X 2 ilikupata gharama halisi ya mafuta ya Dar es Salaam to New York two ways ,Utapata Jumla ya Tsh267,306,480 hii ni pesa ya mafuta tu yakwenda New York na kurudi Dar es salaam,
Hapa hatujazungumzia rate ya landing fees, Parking fees nanyinginezo watu wa aviation wanafahamu hizi gharama vizuri, kwakuwa Mimi si mtaalum wa mambo Aviation naomba niishie hapa kwenye mathematical calculation ya gharama ya mafuta tu ambayo ni karibu 270M,
Sasa mnaolalamika Rais katumia gharama kubwa sikieni hii,Emirates gharama ya Mtu mmoja kwenda New York na kurudi Dar es salaam kwa Economy Class ni Tsh 2,854,500 kama utakaa huko chini ya Siku 7 ,
Sasa kwa kadirio la juu kabisa tufanye mama ameenda na watu|deligates 50 japo naamini ameenda na chini ya hawa,
Chukua 2,854,500 7X 50 Utapata jumla ya Tshs 142,725,000 ,
Chukua gharama ya mafuta ya Boing 787-8 ya kwenda New York na kurudi Dar es salaam ambayo ni Tshs 267,306,240 toa 142,725.000 ambayo ni nauli ya watu 50 utapata Salio la Tshs 124,581,240,
( watu 50 ni makadirio ya juu kabisa sio idadi kamili mwenye idadi kamili anaweza kutupa )
Rais Samia anajua umasikini wa watu wake, anajua hakuna madawa, anajua barabara mbovu, anajua watu wanamaisha magumu ndio maana anasafiri na Emirates pamoja na kwamba Tanzania tunazo ndege mpya 11,
Mnaotaka rais aende na dreamliner New York rudieni kusoma uchambuzi huu, Mnaosema rais anatumia gharama kubwa kwenda New York angalieni hii nia ya Rais katika kukwepa gharama zisizo za lazima,
NB, Kitendo cha Rais Samia kwenda na usafiri wa umma amepunguza gharama ya Safari kwa 40% na kwahaki nchi ilimsubiri kiongozi wa aina hii kwa muda mrefu,
_________________________________
Flights from Dar Es Salaam (DAR) to New York John F Kennedy (JFK) | Emirates Tanzania
Book flights from Dar Es Salaam to New York John F Kennedy today. Comfortable seats, gourmet meals and award-winning entertainment.www.emirates.com
ð¹ð¿ JP54, JET A1 price in Tanzania 83.7 bbl/$ [18.02.2025]
ð¹ð¿JET FUEL A1 Tanzania = 83.7bbl/$ 18.02.2025 graphjet-a1-fuel.com Modern commercial aircraft vs cars: which is more fuel efficient?
There are good reasons why there's a push for aircraft engines continue to deliver better fuel efficiency.www.traveller.com.au
View attachment 1952267
Vipi kama angeenda na Gulf Stream,hesabu ingekaaje?Wanazengo mnafahamu ni kwanini Rais Samia aliamua kupanda ndege ya Emirates na kuacha ndege 11 mpya zimepaki?!
_________________________________
Kutoka Dar es salaam kwenda New York Marekani ni Jumla ya Km 12,050 sawa na jumla ya Km 24,100 two ways,ikiwa ni sawa na safari ya masaa 21 na dk 31 Mchana na Usiku nani sawa na masaa 43 kwenda na kurudi,
Boing 787-8 engine inatumia lita 5,400 za mafuta kwa lisaa limoja yaani ( 5,400L/h )
Fanya hivi, chukua lita 5,400 za mafuta zidisha kwa masaa 21.31 utapata jumla ya Lita 115,074 za mafuta ili kufika New York Marekani yaani ( one way)
Tunafahamu,bei ya Lita moja ya mafuta ya ndege (Jet fuel) hapa Tanzania kama trh 24|09|2021 ni $0.501/lita sawa na Tshs 1,162
Ilikupata gharama ya mafuta Dar es salaam to New York ,Chukua lita hizi 115,074 zidisha kwa bei ya lita moja ambayo ni Tsh 1,162 utapata jumla ya Tshs 133,653,240 kwa Safari moja tu ( One way)
Ilikupata gharama ya safari zote mbili yaani kwenda New York na kurudi,Zidisha gharama ya mafuta ya kwenda Tshs 133,653,240 X 2 ilikupata gharama halisi ya mafuta ya Dar es Salaam to New York two ways ,Utapata Jumla ya Tsh267,306,480 hii ni pesa ya mafuta tu yakwenda New York na kurudi Dar es salaam,
Hapa hatujazungumzia rate ya landing fees, Parking fees nanyinginezo watu wa aviation wanafahamu hizi gharama vizuri, kwakuwa Mimi si mtaalum wa mambo Aviation naomba niishie hapa kwenye mathematical calculation ya gharama ya mafuta tu ambayo ni karibu 270M,
Sasa mnaolalamika Rais katumia gharama kubwa sikieni hii,Emirates gharama ya Mtu mmoja kwenda New York na kurudi Dar es salaam kwa Economy Class ni Tsh 2,854,500 kama utakaa huko chini ya Siku 7 ,
Sasa kwa kadirio la juu kabisa tufanye mama ameenda na watu|deligates 50 japo naamini ameenda na chini ya hawa,
Chukua 2,854,500 7X 50 Utapata jumla ya Tshs 142,725,000 ,
Chukua gharama ya mafuta ya Boing 787-8 ya kwenda New York na kurudi Dar es salaam ambayo ni Tshs 267,306,240 toa 142,725.000 ambayo ni nauli ya watu 50 utapata Salio la Tshs 124,581,240,
( watu 50 ni makadirio ya juu kabisa sio idadi kamili mwenye idadi kamili anaweza kutupa )
Rais Samia anajua umasikini wa watu wake, anajua hakuna madawa, anajua barabara mbovu, anajua watu wanamaisha magumu ndio maana anasafiri na Emirates pamoja na kwamba Tanzania tunazo ndege mpya 11,
Mnaotaka rais aende na dreamliner New York rudieni kusoma uchambuzi huu, Mnaosema rais anatumia gharama kubwa kwenda New York angalieni hii nia ya Rais katika kukwepa gharama zisizo za lazima,
NB, Kitendo cha Rais Samia kwenda na usafiri wa umma amepunguza gharama ya Safari kwa 40% na kwahaki nchi ilimsubiri kiongozi wa aina hii kwa muda mrefu,
_________________________________
Flights from Dar Es Salaam (DAR) to New York John F Kennedy (JFK) | Emirates Tanzania
Book flights from Dar Es Salaam to New York John F Kennedy today. Comfortable seats, gourmet meals and award-winning entertainment.www.emirates.com
ð¹ð¿ JP54, JET A1 price in Tanzania 83.7 bbl/$ [18.02.2025]
ð¹ð¿JET FUEL A1 Tanzania = 83.7bbl/$ 18.02.2025 graphjet-a1-fuel.com Modern commercial aircraft vs cars: which is more fuel efficient?
There are good reasons why there's a push for aircraft engines continue to deliver better fuel efficiency.www.traveller.com.au
View attachment 1952267
Mkuu Jabali la Siasa , kwanza asante kwa bandiko hili, na pili asante kwa kutukokotolea gharama ya mafuta kulirusha lile li Dreamliner kwenda Marekani.Wanazengo mnafahamu ni kwanini Rais Samia aliamua kupanda ndege ya Emirates na kuacha ndege 11 mpya zimepaki?!
_________________________________
Kutoka Dar es salaam kwenda New York Marekani ni Jumla ya Km 12,050 sawa na jumla ya Km 24,100 two ways,ikiwa ni sawa na safari ya masaa 21 na dk 31 Mchana na Usiku nani sawa na masaa 43 kwenda na kurudi,
Boing 787-8 engine inatumia lita 5,400 za mafuta kwa lisaa limoja yaani ( 5,400L/h )
Chukua gharama ya mafuta ya Boing 787-8 ya kwenda New York na kurudi Dar es salaam ambayo ni Tshs 267,306,240
Mnaotaka rais aende na dreamliner New York rudieni kusoma uchambuzi huu, Mnaosema rais anatumia gharama kubwa kwenda New York angalieni hii nia ya Rais katika kukwepa gharama zisizo za lazima,
NB, Kitendo cha Rais Samia kwenda na usafiri wa umma amepunguza gharama ya Safari kwa 40% na kwahaki nchi ilimsubiri kiongozi wa aina hii kwa muda mrefu,
Mh!? Cognitive function loading, . Ni vile tu alie andika anaheshimika hapa janvini.Mkuu Jabali la Siasa , kwanza asante kwa bandiko hili, na pili asante kwa kutukokotolea gharama ya mafuta kulirusha lile li Dreamliner kwenda Marekani.
Mimi ni miongoni mwa tunaoshauri rais wetu akisafiri, maandam sasa tunazo hizo ndege, rais wetu atumie ndege zetu.
View attachment 1953075
Hili pia nimelisema kwenye uzi huu
Hongera Rais Samia, Kwenda US, Kuhutubia UN, Safari ya Kuzindua Filamu Yako ya Royal Tour, Tunaomba Tukusindikize, Dreamliner Yetu Itue New York
Wanabodi, Kila nipatapo fursa, huwaletea mfufululizo wa makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa" Makala ya leo ni bandiko la pongezi na ombi. Pongezi ni kwa Rais Samia, kusafiri kwa kukwea pipa la watu, kwenda nchini Marekani, na kuhutubia Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, UNGA. Ombi ni kwa...www.jamiiforums.com
Kwenye andiko hilo, hiyo element ya gharama nimeisema.
Kama Tanzania, tumedhamiria kuukuza utalii wetu na kuutangaza kimataifa, hatuwezi kukwepa gharama!. Kama hiyo gharama wewe unaona ni fedha nyingi sana, nenda katafute gharama ya kuandaa Royal Tour kuutangaza utalii wa Tanzania kimataifa. Kama tumeweza ku justify kutumia gharama hizo kwenye Royal Tour, tutashindwaje kulirusha li dreamliner letu kwenda kututangazoa utalii wetu na ATC kuanzisha direct flights za Marekani?.
Jee unajua gharama za kurusha Tangazo la TV la 60 sec kwa mara moja tuu kwenye CNN?. Ukizisikia ndipo utakubaliana na mimi, kutangaza kitu chochote kimataifa ni gharama, kama Tanzania Tumedhamiria kwa dhati, kuutangaza utalii wetu kimataifa, hatuwezi kukwepa gharama!.
Chief Hangaya atakapokwenda Marekani kuizindua filamu yake ya Royal Tour, aende na Dreamliner, Watanzania wenye uwezo wa kuchangia gharama tupo, na tutamsindikiza Mama.
P
Wanazengo mnafahamu ni kwanini Rais Samia aliamua kupanda ndege ya Emirates na kuacha ndege 11 mpya zimepaki?!
_________________________________
Kutoka Dar es salaam kwenda New York Marekani ni Jumla ya Km 12,050 sawa na jumla ya Km 24,100 two ways,ikiwa ni sawa na safari ya masaa 21 na dk 31 Mchana na Usiku nani sawa na masaa 43 kwenda na kurudi,
Boing 787-8 engine inatumia lita 5,400 za mafuta kwa lisaa limoja yaani ( 5,400L/h )
Fanya hivi, chukua lita 5,400 za mafuta zidisha kwa masaa 21.31 utapata jumla ya Lita 115,074 za mafuta ili kufika New York Marekani yaani ( one way)
Tunafahamu,bei ya Lita moja ya mafuta ya ndege (Jet fuel) hapa Tanzania kama trh 24|09|2021 ni $0.501/lita sawa na Tshs 1,162
Ilikupata gharama ya mafuta Dar es salaam to New York ,Chukua lita hizi 115,074 zidisha kwa bei ya lita moja ambayo ni Tsh 1,162 utapata jumla ya Tshs 133,653,240 kwa Safari moja tu ( One way)
Ilikupata gharama ya safari zote mbili yaani kwenda New York na kurudi,Zidisha gharama ya mafuta ya kwenda Tshs 133,653,240 X 2 ilikupata gharama halisi ya mafuta ya Dar es Salaam to New York two ways ,Utapata Jumla ya Tsh267,306,480 hii ni pesa ya mafuta tu yakwenda New York na kurudi Dar es salaam,
Hapa hatujazungumzia rate ya landing fees, Parking fees nanyinginezo watu wa aviation wanafahamu hizi gharama vizuri, kwakuwa Mimi si mtaalum wa mambo Aviation naomba niishie hapa kwenye mathematical calculation ya gharama ya mafuta tu ambayo ni karibu 270M,
Sasa mnaolalamika Rais katumia gharama kubwa sikieni hii,Emirates gharama ya Mtu mmoja kwenda New York na kurudi Dar es salaam kwa Economy Class ni Tsh 2,854,500 kama utakaa huko chini ya Siku 7 ,
Sasa kwa kadirio la juu kabisa tufanye mama ameenda na watu|deligates 50 japo naamini ameenda na chini ya hawa,
Chukua 2,854,500 7X 50 Utapata jumla ya Tshs 142,725,000 ,
Chukua gharama ya mafuta ya Boing 787-8 ya kwenda New York na kurudi Dar es salaam ambayo ni Tshs 267,306,240 toa 142,725.000 ambayo ni nauli ya watu 50 utapata Salio la Tshs 124,581,240,
( watu 50 ni makadirio ya juu kabisa sio idadi kamili mwenye idadi kamili anaweza kutupa )
Rais Samia anajua umasikini wa watu wake, anajua hakuna madawa, anajua barabara mbovu, anajua watu wanamaisha magumu ndio maana anasafiri na Emirates pamoja na kwamba Tanzania tunazo ndege mpya 11,
Mnaotaka rais aende na dreamliner New York rudieni kusoma uchambuzi huu, Mnaosema rais anatumia gharama kubwa kwenda New York angalieni hii nia ya Rais katika kukwepa gharama zisizo za lazima,
NB, Kitendo cha Rais Samia kwenda na usafiri wa umma amepunguza gharama ya Safari kwa 40% na kwahaki nchi ilimsubiri kiongozi wa aina hii kwa muda mrefu,
_________________________________
Flights from Dar Es Salaam (DAR) to New York John F Kennedy (JFK) | Emirates Tanzania
Book flights from Dar Es Salaam to New York John F Kennedy today. Comfortable seats, gourmet meals and award-winning entertainment.www.emirates.com
ð¹ð¿ JP54, JET A1 price in Tanzania 83.7 bbl/$ [18.02.2025]
ð¹ð¿JET FUEL A1 Tanzania = 83.7bbl/$ 18.02.2025 graphjet-a1-fuel.com Modern commercial aircraft vs cars: which is more fuel efficient?
There are good reasons why there's a push for aircraft engines continue to deliver better fuel efficiency.www.traveller.com.au
View attachment 1952267
Wanazengo mnafahamu ni kwanini Rais Samia aliamua kupanda ndege ya Emirates na kuacha ndege 11 mpya zimepaki?!
_________________________________
Kutoka Dar es salaam kwenda New York Marekani ni Jumla ya Km 12,050 sawa na jumla ya Km 24,100 two ways,ikiwa ni sawa na safari ya masaa 21 na dk 31 Mchana na Usiku nani sawa na masaa 43 kwenda na kurudi,
Boing 787-8 engine inatumia lita 5,400 za mafuta kwa lisaa limoja yaani ( 5,400L/h )
Fanya hivi, chukua lita 5,400 za mafuta zidisha kwa masaa 21.31 utapata jumla ya Lita 115,074 za mafuta ili kufika New York Marekani yaani ( one way)
Tunafahamu,bei ya Lita moja ya mafuta ya ndege (Jet fuel) hapa Tanzania kama trh 24|09|2021 ni $0.501/lita sawa na Tshs 1,162
Ilikupata gharama ya mafuta Dar es salaam to New York ,Chukua lita hizi 115,074 zidisha kwa bei ya lita moja ambayo ni Tsh 1,162 utapata jumla ya Tshs 133,653,240 kwa Safari moja tu ( One way)
Ilikupata gharama ya safari zote mbili yaani kwenda New York na kurudi,Zidisha gharama ya mafuta ya kwenda Tshs 133,653,240 X 2 ilikupata gharama halisi ya mafuta ya Dar es Salaam to New York two ways ,Utapata Jumla ya Tsh267,306,480 hii ni pesa ya mafuta tu yakwenda New York na kurudi Dar es salaam,
Hapa hatujazungumzia rate ya landing fees, Parking fees nanyinginezo watu wa aviation wanafahamu hizi gharama vizuri, kwakuwa Mimi si mtaalum wa mambo Aviation naomba niishie hapa kwenye mathematical calculation ya gharama ya mafuta tu ambayo ni karibu 270M,
Sasa mnaolalamika Rais katumia gharama kubwa sikieni hii,Emirates gharama ya Mtu mmoja kwenda New York na kurudi Dar es salaam kwa Economy Class ni Tsh 2,854,500 kama utakaa huko chini ya Siku 7 ,
Sasa kwa kadirio la juu kabisa tufanye mama ameenda na watu|deligates 50 japo naamini ameenda na chini ya hawa,
Chukua 2,854,500 7X 50 Utapata jumla ya Tshs 142,725,000 ,
Chukua gharama ya mafuta ya Boing 787-8 ya kwenda New York na kurudi Dar es salaam ambayo ni Tshs 267,306,240 toa 142,725.000 ambayo ni nauli ya watu 50 utapata Salio la Tshs 124,581,240,
( watu 50 ni makadirio ya juu kabisa sio idadi kamili mwenye idadi kamili anaweza kutupa )
Rais Samia anajua umasikini wa watu wake, anajua hakuna madawa, anajua barabara mbovu, anajua watu wanamaisha magumu ndio maana anasafiri na Emirates pamoja na kwamba Tanzania tunazo ndege mpya 11,
Mnaotaka rais aende na dreamliner New York rudieni kusoma uchambuzi huu, Mnaosema rais anatumia gharama kubwa kwenda New York angalieni hii nia ya Rais katika kukwepa gharama zisizo za lazima,
NB, Kitendo cha Rais Samia kwenda na usafiri wa umma amepunguza gharama ya Safari kwa 40% na kwahaki nchi ilimsubiri kiongozi wa aina hii kwa muda mrefu,
_________________________________
Flights from Dar Es Salaam (DAR) to New York John F Kennedy (JFK) | Emirates Tanzania
Book flights from Dar Es Salaam to New York John F Kennedy today. Comfortable seats, gourmet meals and award-winning entertainment.www.emirates.com
ð¹ð¿ JP54, JET A1 price in Tanzania 83.7 bbl/$ [18.02.2025]
ð¹ð¿JET FUEL A1 Tanzania = 83.7bbl/$ 18.02.2025 graphjet-a1-fuel.com Modern commercial aircraft vs cars: which is more fuel efficient?
There are good reasons why there's a push for aircraft engines continue to deliver better fuel efficiency.www.traveller.com.au
View attachment 1952267
Kumekucha Makunduchi, ingizo jipya, Watoto wa teuzi.UZALENDO NI VITENDO SIO MANENO,
HUYU MAMA NI KAMA NYERERE TU,
ANAJUA UCHUMI,
ANAJUA LUGHA,
ANAJUA DIPLOMASIA,
WALE MLIOKUWA MNAMPONGEZA YULE RAIS WA ZAMBIA NYIE SIO WAZALENDO KABISA,
Wanazengo mnafahamu ni kwanini Rais Samia aliamua kupanda ndege ya Emirates na kuacha ndege 11 mpya zimepaki?!
_________________________________
Kutoka Dar es salaam kwenda New York Marekani ni Jumla ya Km 12,050 sawa na jumla ya Km 24,100 two ways,ikiwa ni sawa na safari ya masaa 21 na dk 31 Mchana na Usiku nani sawa na masaa 43 kwenda na kurudi,
Boing 787-8 engine inatumia lita 5,400 za mafuta kwa lisaa limoja yaani ( 5,400L/h )
Fanya hivi, chukua lita 5,400 za mafuta zidisha kwa masaa 21.31 utapata jumla ya Lita 115,074 za mafuta ili kufika New York Marekani yaani ( one way)
Tunafahamu,bei ya Lita moja ya mafuta ya ndege (Jet fuel) hapa Tanzania kama trh 24|09|2021 ni $0.501/lita sawa na Tshs 1,162
Ilikupata gharama ya mafuta Dar es salaam to New York ,Chukua lita hizi 115,074 zidisha kwa bei ya lita moja ambayo ni Tsh 1,162 utapata jumla ya Tshs 133,653,240 kwa Safari moja tu ( One way)
Ilikupata gharama ya safari zote mbili yaani kwenda New York na kurudi,Zidisha gharama ya mafuta ya kwenda Tshs 133,653,240 X 2 ilikupata gharama halisi ya mafuta ya Dar es Salaam to New York two ways ,Utapata Jumla ya Tsh267,306,480 hii ni pesa ya mafuta tu yakwenda New York na kurudi Dar es salaam,
Hapa hatujazungumzia rate ya landing fees, Parking fees nanyinginezo watu wa aviation wanafahamu hizi gharama vizuri, kwakuwa Mimi si mtaalum wa mambo Aviation naomba niishie hapa kwenye mathematical calculation ya gharama ya mafuta tu ambayo ni karibu 270M,
Sasa mnaolalamika Rais katumia gharama kubwa sikieni hii,Emirates gharama ya Mtu mmoja kwenda New York na kurudi Dar es salaam kwa Economy Class ni Tsh 2,854,500 kama utakaa huko chini ya Siku 7 ,
Sasa kwa kadirio la juu kabisa tufanye mama ameenda na watu|deligates 50 japo naamini ameenda na chini ya hawa,
Chukua 2,854,500 7X 50 Utapata jumla ya Tshs 142,725,000 ,
Chukua gharama ya mafuta ya Boing 787-8 ya kwenda New York na kurudi Dar es salaam ambayo ni Tshs 267,306,240 toa 142,725.000 ambayo ni nauli ya watu 50 utapata Salio la Tshs 124,581,240,
( watu 50 ni makadirio ya juu kabisa sio idadi kamili mwenye idadi kamili anaweza kutupa )
Rais Samia anajua umasikini wa watu wake, anajua hakuna madawa, anajua barabara mbovu, anajua watu wanamaisha magumu ndio maana anasafiri na Emirates pamoja na kwamba Tanzania tunazo ndege mpya 11,
Mnaotaka rais aende na dreamliner New York rudieni kusoma uchambuzi huu, Mnaosema rais anatumia gharama kubwa kwenda New York angalieni hii nia ya Rais katika kukwepa gharama zisizo za lazima,
NB, Kitendo cha Rais Samia kwenda na usafiri wa umma amepunguza gharama ya Safari kwa 40% na kwahaki nchi ilimsubiri kiongozi wa aina hii kwa muda mrefu,
_________________________________
Flights from Dar Es Salaam (DAR) to New York John F Kennedy (JFK) | Emirates Tanzania
Book flights from Dar Es Salaam to New York John F Kennedy today. Comfortable seats, gourmet meals and award-winning entertainment.www.emirates.com
ð¹ð¿ JP54, JET A1 price in Tanzania 83.7 bbl/$ [18.02.2025]
ð¹ð¿JET FUEL A1 Tanzania = 83.7bbl/$ 18.02.2025 graphjet-a1-fuel.com Modern commercial aircraft vs cars: which is more fuel efficient?
There are good reasons why there's a push for aircraft engines continue to deliver better fuel efficiency.www.traveller.com.au
View attachment 1952267
Mimi ningevurumisha AIR DODOMA HAPA KAZI TUU mpaka New York, watanzania hawana Shukrani.
Emirates amekodi au kapanda na abiria wengine?
Pierre ni bei ya chini sana mkuuDah....hebu acha ujinga....unajua chumba Cha watu mashuhuri pale Piere Guest house na kiasi gani kwa siku? 😂😂😂🤭
Kwani huko New York kaenda kufanya nini ambacho alishimdwa kufanywa kwa video conferencing? Tuanzie hapo kwanzaWanazengo mnafahamu ni kwanini Rais Samia aliamua kupanda ndege ya Emirates na kuacha ndege 11 mpya zimepaki?!
_________________________________
Kutoka Dar es salaam kwenda New York Marekani ni Jumla ya Km 12,050 sawa na jumla ya Km 24,100 two ways,ikiwa ni sawa na safari ya masaa 21 na dk 31 Mchana na Usiku nani sawa na masaa 43 kwenda na kurudi,
Boing 787-8 engine inatumia lita 5,400 za mafuta kwa lisaa limoja yaani ( 5,400L/h )
Fanya hivi, chukua lita 5,400 za mafuta zidisha kwa masaa 21.31 utapata jumla ya Lita 115,074 za mafuta ili kufika New York Marekani yaani ( one way)
Tunafahamu,bei ya Lita moja ya mafuta ya ndege (Jet fuel) hapa Tanzania kama trh 24|09|2021 ni $0.501/lita sawa na Tshs 1,162
Ilikupata gharama ya mafuta Dar es salaam to New York ,Chukua lita hizi 115,074 zidisha kwa bei ya lita moja ambayo ni Tsh 1,162 utapata jumla ya Tshs 133,653,240 kwa Safari moja tu ( One way)
Ilikupata gharama ya safari zote mbili yaani kwenda New York na kurudi,Zidisha gharama ya mafuta ya kwenda Tshs 133,653,240 X 2 ilikupata gharama halisi ya mafuta ya Dar es Salaam to New York two ways ,Utapata Jumla ya Tsh267,306,480 hii ni pesa ya mafuta tu yakwenda New York na kurudi Dar es salaam,
Hapa hatujazungumzia rate ya landing fees, Parking fees nanyinginezo watu wa aviation wanafahamu hizi gharama vizuri, kwakuwa Mimi si mtaalum wa mambo Aviation naomba niishie hapa kwenye mathematical calculation ya gharama ya mafuta tu ambayo ni karibu 270M,
Sasa mnaolalamika Rais katumia gharama kubwa sikieni hii,Emirates gharama ya Mtu mmoja kwenda New York na kurudi Dar es salaam kwa Economy Class ni Tsh 2,854,500 kama utakaa huko chini ya Siku 7 ,
Sasa kwa kadirio la juu kabisa tufanye mama ameenda na watu|deligates 50 japo naamini ameenda na chini ya hawa,
Chukua 2,854,500 7X 50 Utapata jumla ya Tshs 142,725,000 ,
Chukua gharama ya mafuta ya Boing 787-8 ya kwenda New York na kurudi Dar es salaam ambayo ni Tshs 267,306,240 toa 142,725.000 ambayo ni nauli ya watu 50 utapata Salio la Tshs 124,581,240,
( watu 50 ni makadirio ya juu kabisa sio idadi kamili mwenye idadi kamili anaweza kutupa )
Rais Samia anajua umasikini wa watu wake, anajua hakuna madawa, anajua barabara mbovu, anajua watu wanamaisha magumu ndio maana anasafiri na Emirates pamoja na kwamba Tanzania tunazo ndege mpya 11,
Mnaotaka rais aende na dreamliner New York rudieni kusoma uchambuzi huu, Mnaosema rais anatumia gharama kubwa kwenda New York angalieni hii nia ya Rais katika kukwepa gharama zisizo za lazima,
NB, Kitendo cha Rais Samia kwenda na usafiri wa umma amepunguza gharama ya Safari kwa 40% na kwahaki nchi ilimsubiri kiongozi wa aina hii kwa muda mrefu,
_________________________________
Flights from Dar Es Salaam (DAR) to New York John F Kennedy (JFK) | Emirates Tanzania
Book flights from Dar Es Salaam to New York John F Kennedy today. Comfortable seats, gourmet meals and award-winning entertainment.www.emirates.com
ð¹ð¿ JP54, JET A1 price in Tanzania 83.7 bbl/$ [18.02.2025]
ð¹ð¿JET FUEL A1 Tanzania = 83.7bbl/$ 18.02.2025 graphjet-a1-fuel.com Modern commercial aircraft vs cars: which is more fuel efficient?
There are good reasons why there's a push for aircraft engines continue to deliver better fuel efficiency.www.traveller.com.au
View attachment 1952267
Wanazengo mnafahamu ni kwanini Rais Samia aliamua kupanda ndege ya Emirates na kuacha ndege 11 mpya zimepaki?!
_________________________________
Kutoka Dar es salaam kwenda New York Marekani ni Jumla ya Km 12,050 sawa na jumla ya Km 24,100 two ways,ikiwa ni sawa na safari ya masaa 21 na dk 31 Mchana na Usiku nani sawa na masaa 43 kwenda na kurudi,
Boing 787-8 engine inatumia lita 5,400 za mafuta kwa lisaa limoja yaani ( 5,400L/h )
Fanya hivi, chukua lita 5,400 za mafuta zidisha kwa masaa 21.31 utapata jumla ya Lita 115,074 za mafuta ili kufika New York Marekani yaani ( one way)
Tunafahamu,bei ya Lita moja ya mafuta ya ndege (Jet fuel) hapa Tanzania kama trh 24|09|2021 ni $0.501/lita sawa na Tshs 1,162
Ilikupata gharama ya mafuta Dar es salaam to New York ,Chukua lita hizi 115,074 zidisha kwa bei ya lita moja ambayo ni Tsh 1,162 utapata jumla ya Tshs 133,653,240 kwa Safari moja tu ( One way)
Ilikupata gharama ya safari zote mbili yaani kwenda New York na kurudi,Zidisha gharama ya mafuta ya kwenda Tshs 133,653,240 X 2 ilikupata gharama halisi ya mafuta ya Dar es Salaam to New York two ways ,Utapata Jumla ya Tsh267,306,480 hii ni pesa ya mafuta tu yakwenda New York na kurudi Dar es salaam,
Hapa hatujazungumzia rate ya landing fees, Parking fees nanyinginezo watu wa aviation wanafahamu hizi gharama vizuri, kwakuwa Mimi si mtaalum wa mambo Aviation naomba niishie hapa kwenye mathematical calculation ya gharama ya mafuta tu ambayo ni karibu 270M,
Sasa mnaolalamika Rais katumia gharama kubwa sikieni hii,Emirates gharama ya Mtu mmoja kwenda New York na kurudi Dar es salaam kwa Economy Class ni Tsh 2,854,500 kama utakaa huko chini ya Siku 7 ,
Sasa kwa kadirio la juu kabisa tufanye mama ameenda na watu|deligates 50 japo naamini ameenda na chini ya hawa,
Chukua 2,854,500 7X 50 Utapata jumla ya Tshs 142,725,000 ,
Chukua gharama ya mafuta ya Boing 787-8 ya kwenda New York na kurudi Dar es salaam ambayo ni Tshs 267,306,240 toa 142,725.000 ambayo ni nauli ya watu 50 utapata Salio la Tshs 124,581,240,
( watu 50 ni makadirio ya juu kabisa sio idadi kamili mwenye idadi kamili anaweza kutupa )
Rais Samia anajua umasikini wa watu wake, anajua hakuna madawa, anajua barabara mbovu, anajua watu wanamaisha magumu ndio maana anasafiri na Emirates pamoja na kwamba Tanzania tunazo ndege mpya 11,
Mnaotaka rais aende na dreamliner New York rudieni kusoma uchambuzi huu, Mnaosema rais anatumia gharama kubwa kwenda New York angalieni hii nia ya Rais katika kukwepa gharama zisizo za lazima,
NB, Kitendo cha Rais Samia kwenda na usafiri wa umma amepunguza gharama ya Safari kwa 40% na kwahaki nchi ilimsubiri kiongozi wa aina hii kwa muda mrefu,
_________________________________
Flights from Dar Es Salaam (DAR) to New York John F Kennedy (JFK) | Emirates Tanzania
Book flights from Dar Es Salaam to New York John F Kennedy today. Comfortable seats, gourmet meals and award-winning entertainment.www.emirates.com
ð¹ð¿ JP54, JET A1 price in Tanzania 83.7 bbl/$ [18.02.2025]
ð¹ð¿JET FUEL A1 Tanzania = 83.7bbl/$ 18.02.2025 graphjet-a1-fuel.com Modern commercial aircraft vs cars: which is more fuel efficient?
There are good reasons why there's a push for aircraft engines continue to deliver better fuel efficiency.www.traveller.com.au
View attachment 1952267
Dah.....🤭Pierre ni bei ya chini sana mkuu
UMECHANGANUA VIZURI SANA. NIKUONGEZEE KIDOGO KWAMBA HATA HAO WATU HAMSINI WENGI WAO NI WAFANYABIASHARA WALIOGHARAMIA SAFARI YAO.Wanazengo mnafahamu ni kwanini Rais Samia aliamua kupanda ndege ya Emirates na kuacha ndege 11 mpya zimepaki?!
_________________________________
Kutoka Dar es salaam kwenda New York Marekani ni Jumla ya Km 12,050 sawa na jumla ya Km 24,100 two ways,ikiwa ni sawa na safari ya masaa 21 na dk 31 Mchana na Usiku nani sawa na masaa 43 kwenda na kurudi,
Boing 787-8 engine inatumia lita 5,400 za mafuta kwa lisaa limoja yaani ( 5,400L/h )
Fanya hivi, chukua lita 5,400 za mafuta zidisha kwa masaa 21.31 utapata jumla ya Lita 115,074 za mafuta ili kufika New York Marekani yaani ( one way)
Tunafahamu,bei ya Lita moja ya mafuta ya ndege (Jet fuel) hapa Tanzania kama trh 24|09|2021 ni $0.501/lita sawa na Tshs 1,162
Ilikupata gharama ya mafuta Dar es salaam to New York ,Chukua lita hizi 115,074 zidisha kwa bei ya lita moja ambayo ni Tsh 1,162 utapata jumla ya Tshs 133,653,240 kwa Safari moja tu ( One way)
Ilikupata gharama ya safari zote mbili yaani kwenda New York na kurudi,Zidisha gharama ya mafuta ya kwenda Tshs 133,653,240 X 2 ilikupata gharama halisi ya mafuta ya Dar es Salaam to New York two ways ,Utapata Jumla ya Tsh267,306,480 hii ni pesa ya mafuta tu yakwenda New York na kurudi Dar es salaam,
Hapa hatujazungumzia rate ya landing fees, Parking fees nanyinginezo watu wa aviation wanafahamu hizi gharama vizuri, kwakuwa Mimi si mtaalum wa mambo Aviation naomba niishie hapa kwenye mathematical calculation ya gharama ya mafuta tu ambayo ni karibu 270M,
Sasa mnaolalamika Rais katumia gharama kubwa sikieni hii,Emirates gharama ya Mtu mmoja kwenda New York na kurudi Dar es salaam kwa Economy Class ni Tsh 2,854,500 kama utakaa huko chini ya Siku 7 ,
Sasa kwa kadirio la juu kabisa tufanye mama ameenda na watu|deligates 50 japo naamini ameenda na chini ya hawa,
Chukua 2,854,500 7X 50 Utapata jumla ya Tshs 142,725,000 ,
Chukua gharama ya mafuta ya Boing 787-8 ya kwenda New York na kurudi Dar es salaam ambayo ni Tshs 267,306,240 toa 142,725.000 ambayo ni nauli ya watu 50 utapata Salio la Tshs 124,581,240,
( watu 50 ni makadirio ya juu kabisa sio idadi kamili mwenye idadi kamili anaweza kutupa )
Rais Samia anajua umasikini wa watu wake, anajua hakuna madawa, anajua barabara mbovu, anajua watu wanamaisha magumu ndio maana anasafiri na Emirates pamoja na kwamba Tanzania tunazo ndege mpya 11,
Mnaotaka rais aende na dreamliner New York rudieni kusoma uchambuzi huu, Mnaosema rais anatumia gharama kubwa kwenda New York angalieni hii nia ya Rais katika kukwepa gharama zisizo za lazima,
NB, Kitendo cha Rais Samia kwenda na usafiri wa umma amepunguza gharama ya Safari kwa 40% na kwahaki nchi ilimsubiri kiongozi wa aina hii kwa muda mrefu,
_________________________________
Flights from Dar Es Salaam (DAR) to New York John F Kennedy (JFK) | Emirates Tanzania
Book flights from Dar Es Salaam to New York John F Kennedy today. Comfortable seats, gourmet meals and award-winning entertainment.www.emirates.com
ð¹ð¿ JP54, JET A1 price in Tanzania 83.7 bbl/$ [18.02.2025]
ð¹ð¿JET FUEL A1 Tanzania = 83.7bbl/$ 18.02.2025 graphjet-a1-fuel.com Modern commercial aircraft vs cars: which is more fuel efficient?
There are good reasons why there's a push for aircraft engines continue to deliver better fuel efficiency.www.traveller.com.au
View attachment 1952267