Justard zelphine
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 374
- 207
Muulize huko US amewaachia dolla ngapi?Mtetezi wa wanyonge yeye alikuwa analirusha kila wiki kwenda Chato kwa raha zake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muulize huko US amewaachia dolla ngapi?Mtetezi wa wanyonge yeye alikuwa analirusha kila wiki kwenda Chato kwa raha zake.
Huyu bado hajui kuendesha nchiMlinzi mmoja.
Katibu wa Rais
Msemaji wa Ikulu.
Hao tu kaenda nao.
Muulize huko US amewaachia dolla ngapi?
😍😍😍😍UMECHANGANUA VIZURI SANA. NIKUONGEZEE KIDOGO KWAMBA HATA HAO WATU HAMSINI WENGI WAO NI WAFANYABIASHARA WALIOGHARAMIA SAFARI YAO.
Huu uongo mweupe,Kwa taarifa zilizopo alienda na watu zaidi ya 100. Kwa hiyo hakuna alichosave hapo. Rais wa Zambia kaenda na watu watatu tu.
ThibitishaHuu uongo mweupe,
Ndio maana niliover estimateKwa akili yako Raisi anaweza kukaa economy kama wewe ?
Umaskini huwezi kuisha kwa huu ushamba .Wanazengo mnafahamu ni kwanini Rais Samia aliamua kupanda ndege ya Emirates na kuacha ndege 11 mpya zimepaki?!
_________________________________
Kutoka Dar es salaam kwenda New York Marekani ni Jumla ya Km 12,050 sawa na jumla ya Km 24,100 two ways,ikiwa ni sawa na safari ya masaa 21 na dk 31 Mchana na Usiku nani sawa na masaa 43 kwenda na kurudi,
Boing 787-8 engine inatumia lita 5,400 za mafuta kwa lisaa limoja yaani ( 5,400L/h )
Fanya hivi, chukua lita 5,400 za mafuta zidisha kwa masaa 21.31 utapata jumla ya Lita 115,074 za mafuta ili kufika New York Marekani yaani ( one way)
Tunafahamu,bei ya Lita moja ya mafuta ya ndege (Jet fuel) hapa Tanzania kama trh 24|09|2021 ni $0.501/lita sawa na Tshs 1,162
Ilikupata gharama ya mafuta Dar es salaam to New York ,Chukua lita hizi 115,074 zidisha kwa bei ya lita moja ambayo ni Tsh 1,162 utapata jumla ya Tshs 133,653,240 kwa Safari moja tu ( One way)
Ilikupata gharama ya safari zote mbili yaani kwenda New York na kurudi,Zidisha gharama ya mafuta ya kwenda Tshs 133,653,240 X 2 ilikupata gharama halisi ya mafuta ya Dar es Salaam to New York two ways ,Utapata Jumla ya Tsh267,306,480 hii ni pesa ya mafuta tu yakwenda New York na kurudi Dar es salaam,
Hapa hatujazungumzia rate ya landing fees, Parking fees nanyinginezo watu wa aviation wanafahamu hizi gharama vizuri, kwakuwa Mimi si mtaalum wa mambo Aviation naomba niishie hapa kwenye mathematical calculation ya gharama ya mafuta tu ambayo ni karibu 270M,
Sasa mnaolalamika Rais katumia gharama kubwa sikieni hii,Emirates gharama ya Mtu mmoja kwenda New York na kurudi Dar es salaam kwa Economy Class ni Tsh 2,854,500 kama utakaa huko chini ya Siku 7 ,
Sasa kwa kadirio la juu kabisa tufanye mama ameenda na watu|deligates 50 japo naamini ameenda na chini ya hawa,
Chukua 2,854,500 7X 50 Utapata jumla ya Tshs 142,725,000 ,
Chukua gharama ya mafuta ya Boing 787-8 ya kwenda New York na kurudi Dar es salaam ambayo ni Tshs 267,306,240 toa 142,725.000 ambayo ni nauli ya watu 50 utapata Salio la Tshs 124,581,240,
( watu 50 ni makadirio ya juu kabisa sio idadi kamili mwenye idadi kamili anaweza kutupa )
Rais Samia anajua umasikini wa watu wake, anajua hakuna madawa, anajua barabara mbovu, anajua watu wanamaisha magumu ndio maana anasafiri na Emirates pamoja na kwamba Tanzania tunazo ndege mpya 11,
Mnaotaka rais aende na dreamliner New York rudieni kusoma uchambuzi huu, Mnaosema rais anatumia gharama kubwa kwenda New York angalieni hii nia ya Rais katika kukwepa gharama zisizo za lazima,
NB, Kitendo cha Rais Samia kwenda na usafiri wa umma amepunguza gharama ya Safari kwa 40% na kwahaki nchi ilimsubiri kiongozi wa aina hii kwa muda mrefu,
_________________________________
![]()
Flights from Dar Es Salaam (DAR) to New York John F Kennedy (JFK) | Emirates Tanzania
Book flights from Dar Es Salaam to New York John F Kennedy today. Comfortable seats, gourmet meals and award-winning entertainment.www.emirates.com
![]()
ð¹ð¿ JP54, JET A1 price in Tanzania 83.7 bbl/$ [18.02.2025]
ð¹ð¿JET FUEL A1 Tanzania = 83.7bbl/$ 18.02.2025 graphjet-a1-fuel.com
![]()
Modern commercial aircraft vs cars: which is more fuel efficient?
There are good reasons why there's a push for aircraft engines continue to deliver better fuel efficiency.www.traveller.com.au
View attachment 1952267
Mwanangu nkajua unamponda kumbe
Huyu bado hajui kuendesha nchi
Urais ni taasisi,
Nani atatafuta watalii,
Nani atatafuta wawekezaji,
Nani atatafuta masoko,
Nani ataimarisha diplomasia
Nani ataongea na marais wote 193
Pitia hii mkuuUmaskini huwezi kuisha kwa huu ushamba .
Mwenzake wa Zambia kaenda na watu watatu tu na kapanda hedge ya abiria.
Samia kaondoka na ndege ya Emirates kwa kukodi na hayo mandege yenu si mwisho ni hapo Nairobi kesho yake ndo linapaa tena.
Huenda kukodisha emirates ni gharama kuliko kwenda na hiyo Dreamliner mtumba ambayo angetumia hata siku 3 kwenda Marekani.
Hiyo ndege yenu ishakamilisha madeni yake kimataifa?? Msitake kuleta fedheha!Kakosea kuacha kwenda na ndege yetu. Ningekuwa mimi ningetinga na dege letu. Yaani linatua Swiss au Uk, then linaunga. Mambo ya kundandia wakati sisi si nchi masikini ni kujiendekeza. So kwangu hiyo siyo sifa.
HOTUBA YA RAIS SAMIA UMOJA WA MATAIFA NI MIONGONI MWAHOTUBA BORA 7 MKUTANO WA 76
HEBU PITIENI HII TAARIFAHOTUBA YA RAIS SAMIA UMOJA WA MATAIFA NI MIONGONI MWAHOTUBA BORA 7 MKUTANO WA 76
_________________________________
Foreign Policy ( FP) ya Marekani yaitaja hotuba ya Rais Samia Suluhu ya Sept 23|2021 UN Gen Assembly kuwa ndio hotuba bora zaidi toka Africa na nimiongoni mwahotuba saba ( 7 ) bora zaidi zilizotolewa na viongozi wakuu wa nchi kwenye Mkutano mkuu wa 76 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa New York Marekani,
Hotuba ya Rais Samia UNGA pia inatajwa kuwa ndio hutoba bora zaidi toka kwa Rais Mwanamke duniani miongoni mwawanawake Marais waliohutubia mkutano huo wa 76,Utafiti huo ulifanywa na Foreign policy kwa kuwahoji wajumbe wa mkutano ule ambao Rais Samia alikuwa miongoni mwawajumbe hao 192 toka nchi 193 wanachama wa UN ambao wengi wao walifika na wengine wachache walishiriki kwa njia ya Mtandao,
Marais wengine sita ( 6 ) kati ya 192 waliotoa hotuba bora kama ilivyo kwa Rais Samia Suluhu Hassan ni Mhe Joe Biden rais wa Marekani, Rais wa Brazil Mhe Jair Bolsonaro,Rais wa China Xi Jinping,Rais wa Lebanoni Mhe Michel Aoun,Rais wa Irani Mhe Ebrahim Raisi’s na waziri mkuu wa India Narendra Modi hakika Rais Samia ni nyota inayong'aa duniani,
Mtakumbuka Rais Samia mara kwa mara katika hotuba yake ile alisifu na kusisitiza Uhusiano wa Kimataifa na mipango ya UN,namnukuu "Ukitaka kwenda haraka nenda peke yako ila ukitaka kwenda mbali nenda na wenzako " huku akitanabaisha Taifa lake la Tanzania kuhitaji zaidi msaada katika Teknolojia pamoja Fedha toka kwa Mataifa mengine huku akionya " Kamwe ushirikiano wa kimataifa hautashindwa kupambana na virusi vya Covid -19,
Rais Samia Suluhu Hassan amezishangaa nchi tajiri kuanza kurudia chanjo ( boosting) wakati nchi nyingi masiki toka Africa utoaji wa chanjo bado wako chini 2% ,amezitaka kuzisaidia ilikufikia lengo la WHO la chanjo 40% kwa nchi zote 193 hadi mwishoni mwamwaka 2021 na kufika 70% mwishoni mwa 2022,endelea kujisomea hapo chini,
![]()
President Samia's speech among seven most important at UNGA 2021
President’s Samia Suluhu Hassan’s maiden speech at the United Nations General Assembly (Unga), has been mentioned among the seven most important during the session.www.thecitizen.co.tz
=============================
President Samia's speech among seven most important at UNGA 2021
WEDNESDAY SEPTEMBER 29 2021
President Samia Suluhu Hassan addressing the United Nations General Assembly (UNGA).
Summary
Samia becomes one of the few female heads of State from Africa to address the UN General Assembly.
Dar es Salaam.
________________
President’s Samia Suluhu Hassan’s maiden speech at the United Nations General Assembly (Unga), has been mentioned among the seven most important during the session.
On September 23,
President Samia Suluhu Hassan addressed Unga’s 76th session in New York, USA this week.
President Samia Suluhu Hassan’s speech has been selected by American website ‘Foreign Policy (FP)’ among the most important addresses at the assembly and the only one from a female head of state.
Samia becomes one of the few female heads of State from Africa to address the UN General Assembly.
Other head of the whose Unga speeches have been highlited as important includes: the U.S. President Joe Biden, Brazilian President Jair Bolsonaro, Chinese President Xi Jinping, Lebanese President Michel Aoun, Iranian President Ebrahim Raisi’s and Indian Prime Minister Narendra Modi
In their publication, Foreign Policy asked several of their columnists and contributors to weigh in on the speeches they found most compelling or most concerning.
When President Samia finally took the stage to deliver her speech at the Unga, she presented a distinctive contrast to the endless stream of all-male speakers who had preceded her to the podium on the third day of the General Debate.
In her maiden speech, Samia repeatedly praised multilateralism and the United Nations system. She noted her nation’s dependency on technical and financial support from external sources and admonished that “multilateralism cannot and should not succumb to the virus.”
She decried the COVID-19 vaccine inequality, noting that high and middle-income countries were now giving booster vaccinations while developing countries such as Tanzania had barely inoculated even 2 percent of its population.
“The level of vaccine inequity that we see is appalling.It is truly disheartening to see that most of the countries have inoculated less than 2 per cent of the populace and thus need to seek more vaccines for our people,”
“With the current pace, it is less likely that we will meet the WHO threshold of vaccinating at least 40 percent of people in every country by end of 2021, and at least 70 percent by the first half of 2022,” she said.
President Samia also spoke at length on gender equality, a cause she avidly advocates.
“As the first female president in the history of my country, the burden of expectation to deliver gender equality is heavier on my shoulders. Being passionate about gender equality is not sufficient and as such, my government is reviewing policy and legal frameworks in order to come up with actionable and measurable plans to ensure economic empowerment of women and other aspects pertaining to gender equality and gender parity,” she noted.
President Samia pointedly noted that ‘COVID-19 is threatening to roll back the gains made’ in gender equity and said she plans to implement policies aimed at female economic development and political and social advancement.
She assured the Assembly of Tanzania's commitment to remain a formidable member of the United Nations and a dependable supporter of multilateralism.
Other female presidents
Although most African countries joined the UN in the 1960s soon after they attained independence, with a few joining earlier than that or later, it wasn’t until 2006 that the first African female Head of State, Ellen Johnson Sirleaf of Liberia, addressed the UN General Assembly.
Currently, the 54 African member states of the UN make up to 28 percent of its overall membership. Before 2006, only male heads of State and governments had addressed the General Assembly.
Other African female heads of State that followed were Joyce Hilda Banda of Malawi in 2012, Catherine Samba-Panza of the Central African Republic in 2014, and most recently, Sahle-Work Zewde of Ethiopia in 2019.
.........Kazi iendelee.........
C&P
Lakini utambue Rais Samia sio Hayati Rais Magufuli,Hamna jipya, hata Magufuli aliwalisha pipi na karanga kwenye vikao vya bodi mwanzoni 😅!
Ila mwisho alikuwa na msafara wa V8 hata 50 kwa mpigo which is barely expensive. Huwezi kusema unabana matumizi with such approaches!
TSasa plus sherehe so tunarudi kule kule 200+
Anaitwa Joao yuko Angola ni noma,Hii ni pesa ndogo sana kwa Rais
Kunamtu katumia 9.5bl yuko Angola huko
T
Kakosea kuacha kwenda na ndege yetu. Ningekuwa mimi ningetinga na dege letu. Yaani linatua Swiss au Uk, then linaunga. Mambo ya kundandia wakati sisi si nchi masikini ni kujiendekeza. So kwangu hiyo siyo sifa.
Viva Samia VivaClick to expand...