Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Nyie watu wagumu sana wa kuelewa na wepesi wa kusahau,hela binafsi wakati ni ruzuku za chama zinateketea,vipi ile michango ya Hanang mliyochangisha wafuasi wenu baadae mkadanganya umma kuwa serikali imezuia msiende huko!? Jemlliirudisha kwa wahusika!?Yaani katumia hela zake binafsi kwenda kuishangilia Timu ya Taifa lake , Uzalendo mtupu !
View attachment 2871483
Chadema haijaidhinisha nauli kwa kiongozi yeyote kwenda Ivory Coast .Nyie watu wagumu sana wa kuelewa na wepesi wa kusahau,hela binafsi wakati ni ruzuku za chama zinateketea,vipi ile michango ya Hanang mliyochangisha wafuasi wenu baadae mkadanganya umma kuwa serikali imezuia msiende huko!? Jemlliirudisha kwa wahusika!?
Nyie watu wagumu sana wa kuelewa na wepesi wa kusahau,hela binafsi wakati ni ruzuku za chama zinateketea,vipi ile michango ya Hanang mliyochangisha wafuasi wenu baadae mkadanganya umma kuwa serikali imezuia msiende huko!? Jemlliirudisha kwa wahusika!?
Mwalimu haya mambo ya siasa huwezi kuyaelewa .Nyie watu wagumu sana wa kuelewa na wepesi wa kusahau,hela binafsi wakati ni ruzuku za chama zinateketea,vipi ile michango ya Hanang mliyochangisha wafuasi wenu baadae mkadanganya umma kuwa serikali imezuia msiende huko!? Jemlliirudisha kwa wahusika!?
Ndio kawaida yao hao.Nyie watu wagumu sana wa kuelewa na wepesi wa kusahau,hela binafsi wakati ni ruzuku za chama zinateketea,vipi ile michango ya Hanang mliyochangisha wafuasi wenu baadae mkadanganya umma kuwa serikali imezuia msiende huko!? Jemlliirudisha kwa wahusika!?
Mwalimu ni kila kitu nchi hii,mwalimu nyerere, mwalimu magufuli ,mwalimu majaliwa nk,sioni sababu ya kumtweza mwalimu ili hali uhuru tulionao umeletwa na mwalimuMwalimu haya mambo ya siasa huwezi kuyaelewa .
Umeandaa vipindi vya kesho ?Mwalimu ni kila kitu nchi hii,mwalimu nyerere, mwalimu magufuli ,mwalimu majaliwa nk,sioni sababu ya kumtweza mwalimu ili hali uhuru tulionao umeletwa na mwalimu
Ee nimeandaa,na sio vya kesho tu bali wiki nzimaUmwandaa vipindi vya kesho ?
Ndio nakubali Ila siasa huziwezi mkuuMwalimu ni kila kitu nchi hii,mwalimu nyerere, mwalimu magufuli ,mwalimu majaliwa nk,sioni sababu ya kumtweza mwalimu ili hali uhuru tulionao umeletwa na mwalimu
Una kipimo gani namimi niwe nakitumia kuwatambua wanaiasa na wasio wanasiasaNdio nakubali Ila siasa huziwezi mkuu
Safi sana wameanza rebrandingHuu ndio uzalendo tunaoutaka , Ukitaka kujua mtu ni Mkereketwa wa Timu ya Taifa basi Mwangalie huyu Jamaa .
Yaani katumia hela zake binafsi kwenda kuishangilia Timu ya Taifa lake , Uzalendo mtupu !
View attachment 2871483
Haji kwenye maandamano na usafi?Huu ndio uzalendo tunaoutaka, Ukitaka kujua mtu ni Mkereketwa wa Timu ya Taifa basi Mwangalie huyu Jamaa.
Yaani katumia hela zake binafsi kwenda kuishangilia Timu ya Taifa lake, Uzalendo mtupu.
View attachment 2871483
Mbinu kabambe sana !Safi sana wameanza rebranding
1. Kajitokeza msiba wa Askofu.
2. Kajitokeza event ya Professor J.
3. Sasa yupo Ivory Coast.
He's becoming a statesman
HahahaaaSafi sana wameanza rebranding
1. Kajitokeza msiba wa Askofu.
2. Kajitokeza event ya Professor J.
3. Sasa yupo Ivory Coast.
He's becoming a statesman
Hahahahaha, imekaa vzr hiiSafi sana wameanza rebranding
1. Kajitokeza msiba wa Askofu.
2. Kajitokeza event ya Professor J.
3. Sasa yupo Ivory Coast.
He's becoming a statesman