Uzalendo wa makamanda wa chadema arusha wamkaba koo lema!!!

Uzalendo wa makamanda wa chadema arusha wamkaba koo lema!!!

Mwakaboko King

JF-Expert Member
Joined
Apr 22, 2015
Posts
1,099
Reaction score
207
image.jpg VS image.jpg

Katika hali isiyokuwa ya kawaida Makamanda wa CHADEMA Mkoani Arusha jana wametangaza rasmi kukiasi chama hicho kutokana na kiongozi wao,Mhe Mbunge Godbless Lema kutowajali vijana hao huku wakimtuhumu kukihujumu chama hicho.
image.jpgimage.jpg

Baadhi ya vijana hao wakizungumza huku wakitokwa na machozi wamemtupia lawama Mbunge huyo kwa kuwageuza vijana hao kama ngao na mtaji wake kisiasa huku familia zao zikipata madhara na mateso yaliyosababishwa na maamuzi mabaya ya CHADEMA ya kuwashawishi kuingia kwenye migomo na maandamano! Sasa hawatadanganyika tena wamejitambua na Wamesema kamwe hawako tayari kutumika katika migomo na maandamano yasiyo na tija kwa taifa!
image.jpgimage.jpgimage.jpg

Nawasilisha!!!!!

SOURCE: Star Tv.

 
...

....Bora kula Mawe kuliko kupambana na Lema ...Chadema Arusha ni kama oksijeni na Binadamu !!!
 
Kwa hiyo hao vijana wanakwenda kutumika CCM au wapi tena?
Yaani watu wazima na akili wanajitokeza hadharani na kudai walikuwa wanatumiwa na Lema na hapo hapo wanadai wanahamia CCM ili kwenda kutumika upya!!

Very poor Propaganda.
 
Vita vya panzi........... Ha ha ha CDM imewatumia kama magunia ya deki afu imewatosa!!!
 
Kwa hiyo hao vijana wanakwenda kutumika CCM au wapi tena?
Yaani watu wazima na akili wanajitokeza hadharani na kudai walikuwa wanatumiwa na Lema na hapo hapo wanadai wanahamia CCM ili kwenda kutumika upya!!

Very poor Propaganda.

Mie niliwasikia hawakutaja chama watakachohamia akili ni zao wataamua wenyewe!!!
 
Huo ni ujinga tu. Kuingia chamani ni hiari ya mtu. Na hao wanaolia kutumiwa kila siku nawashangaa maana hata definition ya kutumiwa sijaipata. Walitaka Lema awafanyie nini kwa madai yao ili aonekane anawajali?
 
Kwa hiyo hao vijana wanakwenda kutumika CCM au wapi tena?
Yaani watu wazima na akili wanajitokeza hadharani na kudai walikuwa wanatumiwa na Lema na hapo hapo wanadai wanahamia CCM ili kwenda kutumika upya!!

Very poor Propaganda.

Walsema kuwa amewaachaniza sana makamanda wenzao ambao lema amekua akiwashawshi kufanya maandamano wakpta matzo yy hana time nao tena,na wao wamesema sasa hawana tym nae sasa
 
...

....Bora kula Mawe kuliko kupambana na Lema ...Chadema Arusha ni kama oksijeni na Binadamu !!!

Unafananisha hewa ya Oksjeni wakati huwa inamwacha binadamu,bora hata ungesema maji na samaki!
 
Huo ni ujinga tu. Kuingia chamani ni hiari ya mtu. Na hao wanaolia kutumiwa kila siku nawashangaa maana hata definition ya kutumiwa sijaipata. Walitaka Lema awafanyie nini kwa madai yao ili aonekane anawajali?

Hata hivyo wamechelewa kushtuka,wametumiwa sana mpaka wengine wamekua walemavu afu wakatoswa!!!
 
Hata hivyo wamechelewa kushtuka,wametumiwa sana mpaka wengine wamekua walemavu afu wakatoswa!!!

Hivi kuwa mfuasi wa chama fulani unakuwa unamtumikia mtu, au ni utashi wako na maamuzi yako kutumia haki yako ya kisiasa kama mwananchi? Ukipata madhara along the way unadai umetumika? Na ukipata mgao wa 'escrow' unadai umefanyaje?
 
Huo ni ujinga tu. Kuingia chamani ni hiari ya mtu. Na hao wanaolia kutumiwa kila siku nawashangaa maana hata definition ya kutumiwa sijaipata. Walitaka Lema awafanyie nini kwa madai yao ili aonekane anawajali?

Imekula kwao!sasa shetani kaingia rasmi CDM
 
Hivi kuwa mfuasi wa chama fulani unakuwa unamtumikia mtu, au ni utashi wako na maamuzi yako kutumia haki yako ya kisiasa kama mwananchi? Ukipata madhara along the way unadai umetumika? Na ukipata mgao wa 'escrow' unadai umefanyaje?

Tatizo ni ulevi wa madaraka na kujifanya miungu watu,Lema kugeuza CDM Arusha kama personal property ndo mwanzo wa mabifu yao!na huo ni mwanzo tu bado lile kundi la wapiganaji brigade yao itakapoasi ndo watajua!
 
Back
Top Bottom