Uzalendo wa makamanda wa chadema arusha wamkaba koo lema!!!

Hivi kuwa mfuasi wa chama fulani unakuwa unamtumikia mtu, au ni utashi wako na maamuzi yako kutumia haki yako ya kisiasa kama mwananchi? Ukipata madhara along the way unadai umetumika? Na ukipata mgao wa 'escrow' unadai umefanyaje?
Kumbe majibu unayo kwanini unauliza majibu? Delete Lema mchumia tumbo anaejali tumbo lake tu huku akiwasahau vijana
 
Lema ana wakati mgumu sana.
Hawa Makamanda wanafahamu hila zake zote.
Nawapongeza kwa kujitambua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…