Paspii0
JF-Expert Member
- Apr 10, 2020
- 346
- 522
Watanzania na mitazamo
Katika kujenga nchi, tunahitaji kuwa na utamaduni wa kufanya kazi kwa bidii, kutafuta suluhu za changamoto badala ya kulalamika, na kutafuta njia bora za kuleta maendeleo kwa kushirikiana. Tunapokuwa na mtindo wa kuzungumza kwa lugha za kujenga, sio za kubomoa, tutafanikiwa kuwa na taifa lenye nguvu na linalozidi kuwa imara katika nyanja zote.
- Shule za msingi na sekondari za serikali ...... wananchi response π
- Hospitali za serikali ....... wananchi responseπ
- usafiri wa umma ......... wananchi responseπ
- AJIRA ZA SERIKALI NA MASHIRIKA YA UMMA ....... wananchi responseππππππ
Katika kujenga nchi, tunahitaji kuwa na utamaduni wa kufanya kazi kwa bidii, kutafuta suluhu za changamoto badala ya kulalamika, na kutafuta njia bora za kuleta maendeleo kwa kushirikiana. Tunapokuwa na mtindo wa kuzungumza kwa lugha za kujenga, sio za kubomoa, tutafanikiwa kuwa na taifa lenye nguvu na linalozidi kuwa imara katika nyanja zote.