Uzalendo ni hali ya mtu kuwa na uchungu hasa juu ya nchi naJamii kwa ujumla. Shana hii ni Pana na pengine ilipaswa kufundishwa kwenye shule zetu kwa ngazi zote.
Msingi wa hoja yangu ni dhidi ya ubinafsi mkubwa uliojaa kwenye jamii zetu ikiwa ni pamoja na wale wote wenye fursa ya kuhubiri Uzalendo kukosa Uzalendo huo.
Kwa asili Jambo hili limekuwa gumu zaidi hasa kwa jamii za Kiafrica kwa Shana tu kuendekeza umimi, ukabila na pengine hata udini.
Hatua hii hupelekea migogoro mingi ndani ya nchi na hupelekea nchi nyingi za Magharibi kutulaghai na kutupora rasilimali zetu.
Viongozi wengi wa Kiafrica wanapopata nafasi ya kuwa kiongozi anawaza namna ya kuwapora wananchi wenzake Kodi zao badala ya kuwa na uchungu na kuwatumikia kwa kukutatua changamoto hizo.
Mwisho wa tamaa hizi ni kujilimbikizia Mali ambazo hazina maana yoyote, kumbe angeweza kuwa mzalendo na kujitoa hata kwa ajili ya wenzake.
Tunapoona kila Rais anayeingia madarakani anaanza kuwatafuta marafiki zake na kusuka upya utawa ni kupoteza Uzalendo na misingi ya kulisukuma gurudumu la Maendeleo ambalo tumekuwa tukiliimba.
Hivi Sasa Mambo mengi Sanaa hasa ya maendeleo yanaenda taratibu Sana kwa misingi ya kwamba SERIKALI iliyopo Madarakani sio ya Kibabe Kama ya Mwendazake. Ujenzi wa barabara unasuasua changamoto ni nyingi mno.
Je ni kweli hakuna haja kuongeza ukali angalau misingi iliyowekwa mwanzo ya maendeleo yakaenziwa?
Msingi wa hoja yangu ni dhidi ya ubinafsi mkubwa uliojaa kwenye jamii zetu ikiwa ni pamoja na wale wote wenye fursa ya kuhubiri Uzalendo kukosa Uzalendo huo.
Kwa asili Jambo hili limekuwa gumu zaidi hasa kwa jamii za Kiafrica kwa Shana tu kuendekeza umimi, ukabila na pengine hata udini.
Hatua hii hupelekea migogoro mingi ndani ya nchi na hupelekea nchi nyingi za Magharibi kutulaghai na kutupora rasilimali zetu.
Viongozi wengi wa Kiafrica wanapopata nafasi ya kuwa kiongozi anawaza namna ya kuwapora wananchi wenzake Kodi zao badala ya kuwa na uchungu na kuwatumikia kwa kukutatua changamoto hizo.
Mwisho wa tamaa hizi ni kujilimbikizia Mali ambazo hazina maana yoyote, kumbe angeweza kuwa mzalendo na kujitoa hata kwa ajili ya wenzake.
Tunapoona kila Rais anayeingia madarakani anaanza kuwatafuta marafiki zake na kusuka upya utawa ni kupoteza Uzalendo na misingi ya kulisukuma gurudumu la Maendeleo ambalo tumekuwa tukiliimba.
Hivi Sasa Mambo mengi Sanaa hasa ya maendeleo yanaenda taratibu Sana kwa misingi ya kwamba SERIKALI iliyopo Madarakani sio ya Kibabe Kama ya Mwendazake. Ujenzi wa barabara unasuasua changamoto ni nyingi mno.
Je ni kweli hakuna haja kuongeza ukali angalau misingi iliyowekwa mwanzo ya maendeleo yakaenziwa?